Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kila mtu anajua kuwa trafic ni tatizo kubwa lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwaKelele zinasaidia mwenye Mamlaka kuamka!! Nakumbuka 2016 Makonda alitoa agizo polisi wa usalama barabarani waongezwe Mara kumi zaidi!! Hadi polisi wa kulinda RAIA na Mali zao wakakosekana!! Sasa ni Muda muafaka kuwarudisha kwenye majukumu ya awali kupunguza usumbufu barabarani, Polisi watatu wanalinda taa nyekundu kukamata anaye jisahau!?
Huo muda aliokaa hapo angekuwa wapi muda huu?Kwa kawaida gari ikiharibika kondakta anarudisha nauli na kwahiyo haiathiri bajeti ya abiria. Kero ni utendaji wa trafiki kama anavyolalamika mtoa mada.
Ni kwamba hujawahi kupanda daladala au unajitoa ufahamu? Huwa tunarudishiwa nauliIkitokea gari imeharibika wanafanyaje?
Mkuu huku mikoani hatuna daladala tuna bodaboda mkuuNi kwamba hujawahi kupanda daladala au unajitoa ufahamu? Huwa tunarudishiwa nauli
Piga kelele, kuna mwenye hekima atasikia, kwa dar Afande Mambosasa alishiriki kuwaongeza na MakondaKila mtu anajua kuwa trafic ni tatizo kubwa lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa
Makonda leo hana issue tena ni mtuhumiwaPiga kelele, kuna mwenye hekima atasikia, kwa dar Afande Mambosasa alishiriki kuwaongeza na Makonda
Angeshafika ofisini.Huo muda aliokaa hapo angekuwa wapi muda huu?
Anatakiwa kujiongeza kidogoAngeshafika ofisini.
Saa moja na nusu?! Kwanini usidai nauli upande lingine?Wanabodi leo mara ya pili nimepatwa na shida ndiyo nikajua kuna tatizo.
Nineamka saa 11 niwahi ofisini trafiki amekamata daladala yetu kisa dereva hakusimama kwenye zebra. Toka saa 12 hadi sasa hivi saa 1:30 tumekalishwa hapa wanamsubiria tajiri wa gari, vitu havieleweki kabisa.
Nashindwa kuelewa kwanini trafiki asichukue hatua kwa dereva kama ni kosa akaandikiwa faini akatuwahisha abiria au wao ndiyo wanaamini wana haki peke yao, gari ni Heicher limebeba abiria wengi kweli watu wamesimama wanawachosha bila sababu.
Inahitajika elimu kwa matrafiki wa dar juu ya namna bora ya kusimamia haya mambo namna hii hatutafika kwakweli.
Sio kwamba asilete malalamiko, hapana, alete lakini wakati huo akiwa ameshaoanda gari lingineSasa mkuu hili ndo suluhisho la kudumu kweli?
Mtoa mada anataka suluhisho la kudumu kwa askari wote sasa ukisema ashuke apande basi jingine si itaendelea kuwa ndo tabia?
Halafu mia nne waiona ndogo watu wana bajeti zao na ukute ni kila siku lazima apande daladala.
Hawatetei kama ni faini aandikiwe ili awahishe abiria kama ni kufukishwa kutuo cha polisi then mahakamani afikishwe haraka ilikusave muda sio mnakaa lisaaa wakati mnawahi kazini ni ujinga.Hapo askari yupo sahihi kabisa, maana dereva amekiuka sheria.
Cha msingi shukeni mpande gari nyingine uyo muhuni akawekwe lockup, washaua sana ndugu zetu katika zebra hao madereva wavuta bange unaowatetea.
Naam....!! Daladala ziko nyingi sana, au tusema jamaa alibahatika kukalia sofa akaona taabu kuachia!Anatakiwa kujiongeza kidogo
HatariNaam....!! Daladala ziko nyingi sana, au tusema jamaa alibahatika kukalia sofa akaona taabu kuachia!