IGP Sirro, toeni elimu kwa askari wa usalama barabarani; wanatuchelewesha kazini

Kila mtu anajua kuwa trafic ni tatizo kubwa lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa
 
Kwa kawaida gari ikiharibika kondakta anarudisha nauli na kwahiyo haiathiri bajeti ya abiria. Kero ni utendaji wa trafiki kama anavyolalamika mtoa mada.
Huo muda aliokaa hapo angekuwa wapi muda huu?
 
Kila mtu anajua kuwa trafic ni tatizo kubwa lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa
Piga kelele, kuna mwenye hekima atasikia, kwa dar Afande Mambosasa alishiriki kuwaongeza na Makonda
 
Saa moja na nusu?! Kwanini usidai nauli upande lingine?
 
Sio kwamba asilete malalamiko, hapana, alete lakini wakati huo akiwa ameshaoanda gari lingine
 
Hapo askari yupo sahihi kabisa, maana dereva amekiuka sheria.

Cha msingi shukeni mpande gari nyingine uyo muhuni akawekwe lockup, washaua sana ndugu zetu katika zebra hao madereva wavuta bange unaowatetea.
Hawatetei kama ni faini aandikiwe ili awahishe abiria kama ni kufukishwa kutuo cha polisi then mahakamani afikishwe haraka ilikusave muda sio mnakaa lisaaa wakati mnawahi kazini ni ujinga.
 
Echer imejaa vizuri angalau ina watu mia au zaidi trafic mmoja tu au wawili wanawapotezea mda kizembe tu alafu hamna la kufanya bado tuna safari ndefu sana nchi hii
Hilo halikuhitaji kulisema hapa au kuwatafuta wakubwa ni palepale anawajibishwa huyo mshamba
 
Kuna siku tulimpa kichapo traffic kwasababu ya issue kama hii. Yani tumepanda coaster tunawahi Moshi jamaa kasimamisha gari halafu akaondoka yupo busy kusimamisha mengine hataki kuzungumza na dereva.

Uzuri machalii wa Meru walikuwa wengi kwenye gari wakaona isiwe kesi tukashuka tukamtia jamaa nakoz halafu tukaamsha popo kwa kupanda gari jingine. Sijui kama ule msala uliwaacha salama wale jamaa wa ile coaster.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…