IGP wa Msumbiji aitwa haraka Tanzania na kuachia jeshi la police Tanzania kuingia Msumbiji kushughulikia wauwaji wa Watanzania 9


Kingereza chenyewe umebugi, rudi kwenye lugha ya kwenu Tandale.
 
Undercovers wa polisi nawakubali sana kwa 'Upele' TISS wakasome.

Baada ya siku mtarejea hapa kuthibitisha juu ya huu ukweli, hawa wajomba ni noma then kile kikosi maalumu ndio kinaenda kuwamaliza hao manyang'au.

POLICE TZ[emoji123][emoji123]
 
Try again harder, your English needs sympathy. Why can't you just be brave and stand with your country hata kama ni ya wachawi?
 
Watanzania wameuawa kinyama halafu kwa ujinga unaleta mada kishabiki, utajibiwa kishabiki....
Hivi Watanzania wanaacha mapori yote Tanzania wanakwenda kufanya ukulima gani Msumbiji, labda muache kuingilia masoko kama yale ya korosho, maana mkulima anakosa furaha kwenye nchi yake anaamua afueni Msumbiji hata kama atachinjwa.

Mbona huwa mnaonewa hivi, nakumbuka nikisoma sehemu wavuvi wa Tanzania wanauawa kinyama Rwanda, iwaingie akilini kwamba sisi Wakenya tu ndio huwa tunaendana na Watanzania, huko kwengine hamtakiwi kabisa, hata Malawi na ziwa lao huwa hawataki kuwaskia Watanzania
Hebu tazama hii video

 
Wamanisha lugha ya kwetu Kisauni, Mombasa 001? Poa lakini hamna issue.

Poa kama kweli wewe Mkenya wa Mambasani, haina noma karibu kwenye jukwaa la +254
Humu hatulazimishi mitazamo, tunavumiliana, tumekubali kutokubaliana, kama ilivyo nchini kwetu, demokrasia ndio hutuogoza, ilmradi huji kwa matusi.
 
This fool is not a Kenyan, he is just like that Mkikuyu Akili Maji.
Poa kama kweli wewe Mkenya wa Mambasani, haina noma karibu kwenye jukwaa la +254
Humu hatulazimishi mitazamo, tunavumiliana, tumekubali kutokubaliana, kama ilivyo nchini kwetu, demokrasia ndio hutuogoza, ilmradi huji kwa matusi.
 
Try again harder, your English needs sympathy. Why can't you just be brave and stand with your country hata kama ni ya wachawi?
Even if my english needs sympathy the important thing is that you understood me and that is why i say although i am proud to be a Kenyan we can not sweep under the rag our flaws which we all know is thievery not corruption and rampant tribalism. And as for whether you two characters MK254 think that am Kenyan or not is not of my concern. Be blessed ✊🏿
 
Reactions: Oii
I can't be blessed by a witch.
 
This fool is not a Kenyan, he is just like that Mkikuyu Akili Maji.
When the debate is lost, slander becomes the tool of the loser.
We dont need such characters (tribal minds) like you in Kenya lets all come together irregardless of tribal affiliations and strive to build a prosperous and united Kenya. Dont you want that for your children or grandchildren? Am even starting to think whether you are a Kenyan.
 
Poa kama kweli wewe Mkenya wa Mambasani, haina noma karibu kwenye jukwaa la +254
Humu hatulazimishi mitazamo, tunavumiliana, tumekubali kutokubaliana, kama ilivyo nchini kwetu, demokrasia ndio hutuogoza, ilmradi huji kwa matusi.
Pamoja kaka. Umetoka sehumu gani ya Kenya?
 
I'm a real Kenyan unlike you who pretends to be Kenyan just to escape being called sorcerer.
 
Undercovers wa polisi nawakubali sana kwa 'Upele' TISS wakasome.

Baada ya siku mtarejea hapa kuthibitisha juu ya huu ukweli, hawa wajomba ni noma then kile kikosi maalumu ndio kinaenda kuwamaliza hao manyang'au.

POLICE TZ[emoji123][emoji123]
Rudia kusoma ulichoandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…