Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amesema kuwa Jeshi la Polisi limejipanga vyema kuhakikisha usalama wakati wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu.
Akizungumza katika mkutano na Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa, IGP Wambura alieleza kuwa uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa kipekee kutokana na maandalizi madhubuti ya kuhakikisha amani inaendelea kudumu.
Aidha, IGP Wambura aliongeza kuwa hali ya usalama nchini kwa sasa ni shwari, na hakuna matukio ya kuhatarisha usalama yaliyotaarifiwa hivi karibuni.
Akizungumza katika mkutano na Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa, IGP Wambura alieleza kuwa uchaguzi wa mwaka huu utakuwa wa kipekee kutokana na maandalizi madhubuti ya kuhakikisha amani inaendelea kudumu.
Aidha, IGP Wambura aliongeza kuwa hali ya usalama nchini kwa sasa ni shwari, na hakuna matukio ya kuhatarisha usalama yaliyotaarifiwa hivi karibuni.