Hii kitu tatizo nini au mishahara wanayolipwa ukilinganisha na vyombo vingine vya ulinzi hela ni kidogo au inakuaje?
Hivi kutoka Tabora mjini mpaka Nzenga check point zipo Zaid ya Tatu na zote hice wanatoa pesa.
But hili ni janga wahusika mlitazame kama dharula halafu RUSHWA yenyewe ni buku 2.
Hivi kutoka Tabora mjini mpaka Nzenga check point zipo Zaid ya Tatu na zote hice wanatoa pesa.
But hili ni janga wahusika mlitazame kama dharula halafu RUSHWA yenyewe ni buku 2.