Kama una upo eneo la tukio pls picha ni ushahidi kuliko maneno, mtafute Nanyaro yupo eneo la tukio.
Hizo hela za kukodi helcopta zingetosha kulipia pango la ofisi sehemu nzuri kwa mwaka mzima badala ya kukaa kwenye ofisi chafu zisizo na hadhi pale Kinondoni
...mkuu mi cjui kisukuma!!
Hizo hela za kukodi helcopta zingetosha kulipia pango la ofisi sehemu nzuri kwa mwaka mzima badala ya kukaa kwenye ofisi chafu zisizo na hadhi pale Kinondoni
Hizo hela za kukodi helcopta zingetosha kulipia pango la ofisi sehemu nzuri kwa mwaka mzima badala ya kukaa kwenye ofisi chafu zisizo na hadhi pale Kinondoni
Whether Helicopter or Infantria, what we actually need is chemical change in the minds of people of Igunga!
Chanting and crowding are all phyisical changes!...
....And what if there is no any good news..?Are you going to accept even bad news or you are going to wait for the good news even forever?makamilisho mema wanaharakati we are waiting for good news..
Mbona jp2 haifiki ili tufunge hesabu ya sarakasi za igunga na kuwaonesha magamba kuwa hira zao hazijasaidia sana wawashukuru tume kwa kuwapa muda wa kutufanyia fujo . Halaaaaaaaaaaaaa CDM
Muda si mrefu kamanda wa anga Freeman Aikael Mbowe ametua hapa igunga na Helkopta iliyoandikwa CHADEMA ambapo watu wengi wamekusanyika na kama kawaida yake aliwasalimia wakazi wa Igunga na salam ya PEOPLES........,.....POWER
Nitumie nizitume watu wabwede jukwaani tehe tehe tehekunapicha ninazo za mkutano wa leo laki si wezi kuzi rusha umeme hakuna..