Igunga: Tunaishukuru Serikali kwa vifaa tiba na madawa kwenye zahanati za vijijini

Igunga: Tunaishukuru Serikali kwa vifaa tiba na madawa kwenye zahanati za vijijini

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
"... Toka nimeanza ziara vijijini kwenye kila Zahanati Ninayopita kuangalia mwenendo wa utoaji wa huduma za afya kwa Wananchi, Nimekuta kuna akiba ya madawa na vifaa tiba vya kuweza kutumia miezi Mitatu mpaka Sita..."

"... Tunaishukuru Serikali yetu kwa uwekezaji mkubwa kwenye Sekta ya Afya. Uimara wa afya ya Wananchi, ndio uimara wa Taifa Letu la Tanzania..."

Nicholaus George Ngassa
Mbunge wa Jimbo la Igunga

 
Back
Top Bottom