Ihefu aanza vibaya tena ligi kuu

Ihefu aanza vibaya tena ligi kuu

Vishu Mtata

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2019
Posts
15,954
Reaction score
35,415
Leo mbungi ilikua inapigwa kule ubaruku kati ya ihefu na ruvu shooting.

Kama ule msimu aliopanda daraja mechi ya kwanza alipigwa na mnyama na leo tena ruvu wamembonda tena hukohuko ubaruku.

Aisee mwanzo mbovu kabisa, mechi ya kwanza tena nyumbani na unabutuliwa.

Ila wamejitahidi kadri ya uwezo wao kurudisha hilo moja, limewang'ang'ania vilivyo mpaka dakika 90 zimekatika.

Mechi bado ni nyingi wajitahidi wasishuke tena.
 
Kipindi cha pili wameupiga mpira mzuri sana, na hasa baada ya kuingia kiungo mchezeshaji Papi Tshishimbi.

Sema uwanja pia hauko vizuri kwenye pitch. Naamini wakitulia watashinda tu mechi zijazo. Hivyo hawana sababu ya kukata tamaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20220815-WA0408.jpg
 
Back
Top Bottom