Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Mechi 2 Tena nyumban inapoteza
Kwa Jinsi ligi hii ilivyongumu Kama hamtakubali kufanya mabadiliko mtarudi mlikotoka
Nyumban ndio sehemu pekee yakukusanya point walau hata moja kwa timu kubwa
Ni ushauri tu
Kwa Jinsi ligi hii ilivyongumu Kama hamtakubali kufanya mabadiliko mtarudi mlikotoka
Nyumban ndio sehemu pekee yakukusanya point walau hata moja kwa timu kubwa
Ni ushauri tu