Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
Mbona kolo mlinyukwa na Hamis Kiiza kisha Paul Nonga baba paroko huku mkipata sare kwa chupli chupli mbona hatukuskia mmemfukuza kocha mpaka ikaja kipigo cha Feisal Salum.
Kingine mbona mmepasuka ngao ya jamii mayele kawaua mara mbili mbona hayo yote hatujayaskia?
Unafiki
Wewe siyo JK wala Sunday Manara.... Tumekuelewa vizuriMbona kolo mlinyukwa na Hamis Kiiza kisha Paul Nonga baba paroko huku mkipata sare kwa chupli chupli mbona hatukuskia mmemfukuza kocha mpaka ikaja kipigo cha Feisal Salum.
Kingine mbona mmepasuka ngao ya jamii mayele kawaua mara mbili mbona hayo yote hatujayaskia?
Unafiki
Bahati mbaya hawa ihefu wana uhakika wa kupoteza points 30 toka Simba, Yanga, Azam, Geita na Polisi.... Kuna uwezekano mkubwa wasifikishe points 20 msimu huu.Mechi 2 Tena nyumban inapoteza
Kwa Jinsi ligi hii ilivyongumu Kama hamtakubali kufanya mabadiliko mtarudi mlikotoka
Nyumban ndio sehemu pekee yakukusanya point walau hata moja kwa timu kubwa
Ni ushauri tu