Ihefu wamejua kunyamazisha watu

Gilbert Julius

Senior Member
Joined
Jan 28, 2014
Posts
102
Reaction score
72
Baada ya matokeo ya Yanga ya goli 5-0 kwa mechi mbili mashabiki wengi wa yanga hata wa Simba pia waliamini kuwa msimu huu Yanga anaweza kumaliza ligi bila kufungwa.

Lakini mapema tu wamedondosha points,tena kwa yule yule aliyevunja mwiko wa unbeaten.

Kwa mtazamo wangu matokeo ya jana yamefanya tuuheshimu mpira wa miguu.
 
Wasifungwe wao Nani? Mpira hauna mwenyewe.
 
Tulishawaambia wanawafunga vilaza tu,sasa kazi ndo imeanza watajua hawajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…