Ijue BMW X1 Kwa Ufupi

Ijue BMW X1 Kwa Ufupi

KIMOMWEMOTORS

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2018
Posts
358
Reaction score
675
BMW X1- Kwa ufupi

Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari

Utangulizi- Iliingia sokoni kwa mara ya kwanza 2010 ikichukuliwa kama mdogo wa BMW X3 iliyotangulia sokoni tangu 2004.

Injini+ Mafuta- Ina injini aina 2 tofauti zenye Cc 2000 zinazokadiriwa kwenda km 10-11/L kila moja. injini bora zaidi ni yenye code N46 sababu haina Turbocharge na pia haina mfumo mkubwa wa umeme kama ilivyo kwa N20 ingawa N20 inaonekana kua ya kisasa zaidi kwa kua ina Teknolojia ya kutumia mafuta madogo licha ya kua Turbo hivyo kuipa uwiano na hiyo isiyo na Turbo. Injini ya Cc 3000 sio ya kuifikiria kwa kua ina matumizi makubwa

Utulivu na Uimara

Gari hii imetulia kwa bara bara zote haswa lami kwenye mwendo mkali kwa kua inadaidiwa zaidi na uzito wake unaofika tani 1.6 na tani 1.7 kwa yenye Cc 3000

Vifaa Vifaa bado sio vingi sana japo vinapatikana kwa bei juu kidogo ingawa uzuri ni kwamba vinadumu mda mrefu

Nyongeza, Push 2 Start, Full Options, 2WD/AWD, Parking Sensors, Back Camera, Viti ngozi, 6 Airbags.

Maoni kwa mazingira yetu ya mafundi wachache wa umeme, na gharama kubwa za kuitunza turbo ni vizuri kuikimbilia injini code N46 badala ya N20 japo zote zina Cc 2000

Gharama kuagiza gari hii kwa sasa ni wastani wa 25m mpaka 26m

IMG_20210809_120005_938.jpg
 
Mkuu, kwa kuongezea...

X1 zipo generations mbili hadi sasa, E84 na F48.

BMW X1 E84

800px-2010-2011_BMW_X1_(E84)_sDrive20d_wagon_(2011-11-17)_01.jpg


Hizo ndio mkuu KIMOMWEMOTORS umeziongelea sana. Kuanzia mwaka 2010 na iko based on 3 series E90 platform.

Hapo uliposema engine code N46 ndio best kila mtu ana definition ya Ubora, lakini N5x nadhani ndio best engine ever made by BMW.

N5x zipo N52 ambayo ni inline 6 na N55 ambayo ni inline 6 with turbo. Zote 3.0L. (Ila kaa mbali na turbo whenever possible, kwa BMW). Kwa diesel nenda na N46 inline 4, nayo ins reputation nzuri.

Hizi bei zake zipo friendly ndio mkuu kasema hapo ata Mil 26 unaweza endesha.



BMW X1 F48

BMW_X1_xDrive25d_(F48)_-_Frontansicht_(cropped).jpg


Hizi ndio 2nd generation kuanzia 2015 hadi sasa zinaendelea bado G series zake hazijatoka.

Kwenye F series generation, BMW wali introduce turbo, kila gari almost linayo, inapelekea kua na magari yenye engine size ndogo.

Mfano hii X1 zipo hadi za cc1500 kama IST na zina cylinders 3. Engine kubwa kabisa kwenye F48 ni cc2000 na ni cylinders 4. Ila power kubwa kuliko yule mwenye 6 cylinders, cc3000. Thanks to turbo.

Hizi bei yake kidogo imechangamka na ushuru upo juu mawinguni. On average bila 50+ Million sidhani kama utaendesha.


Mchawi hela tu, ila F generation jamani tamu. Dah. BMW zoote F generation hazijawahi niangusha, kuanzia 1, 3, 5, 7 hadi Xs.

cc Bavaria Extrovert
 
Mkuu, kwa kuongezea...

X1 zipo generations mbili hadi sasa, E84 na F48.

BMW X1 E84

View attachment 1886150

Hizo ndio mkuu KIMOMWEMOTORS umeziongelea sana. Kuanzia mwaka 2010 na iko based on 3 series E90 platform.

Hapo uliposema engine code N46 ndio best kila mtu ana definition ya Ubora, lakini N5x nadhani ndio best engine ever made by BMW.

N5x zipo N52 ambayo ni inline 6 na N55 ambayo ni inline 6 with turbo. Zote 3.0L. (Ila kaa mbali na turbo whenever possible, kwa BMW). Kwa diesel nenda na N46 inline 4, nayo ins reputation nzuri.

Hizi bei zake zipo friendly ndio mkuu kasema hapo ata Mil 26 unaweza endesha.



BMW X1 F48

View attachment 1886151

Hizi ndio 2nd generation kuanzia 2015 hadi sasa zinaendelea bado G series zake hazijatoka.

Kwenye F series generation, BMW wali introduce turbo, kila gari almost linayo, inapelekea kua na magari yenye engine size ndogo.

Mfano hii X1 zipo hadi za cc1500 kama IST na zina cylinders 3. Engine kubwa kabisa kwenye F48 ni cc2000 na ni cylinders 4. Ila power kubwa kuliko yule mwenye 6 cylinders, cc3000. Thanks to turbo.

Hizi bei yake kidogo imechangamka na ushuru upo juu mawinguni. On average bila 50+ Million sidhani kama utaendesha.


Mchawi hela tu, ila F generation jamani tamu. Dah. BMW zoote F generation hazijawahi niangusha, kuanzia 1, 3, 5, 7 hadi Xs.

cc Bavaria Extrovert
Hili jukwaa huwa nainjoi Sana nikisoma baadhi ya comments za wadau....
Asante Mkuu Kwa ufafanuzi muruwaaaa!!!
 
Umasikini ndio unafanyia muogope magari mazuri. Ukiwa na hela waweza let's fundi mzuri kutoka Ujerumani
BMW X1- Kwa ufupi

Na KIMOMWE MOTORS (T) LTD- Waagizaji Magari

Utangulizi- Iliingia sokoni kwa mara ya kwanza 2010 ikichukuliwa kama mdogo wa BMW X3 iliyotangulia sokoni tangu 2004.

Injini+ Mafuta- Ina injini aina 2 tofauti zenye Cc 2000 zinazokadiriwa kwenda km 10-11/L kila moja. injini bora zaidi ni yenye code N46 sababu haina Turbocharge na pia haina mfumo mkubwa wa umeme kama ilivyo kwa N20 ingawa N20 inaonekana kua ya kisasa zaidi kwa kua ina Teknolojia ya kutumia mafuta madogo licha ya kua Turbo hivyo kuipa uwiano na hiyo isiyo na Turbo. Injini ya Cc 3000 sio ya kuifikiria kwa kua ina matumizi makubwa

Utulivu na Uimara

Gari hii imetulia kwa bara bara zote haswa lami kwenye mwendo mkali kwa kua inadaidiwa zaidi na uzito wake unaofika tani 1.6 na tani 1.7 kwa yenye Cc 3000

Vifaa Vifaa bado sio vingi sana japo vinapatikana kwa bei juu kidogo ingawa uzuri ni kwamba vinadumu mda mrefu

Nyongeza, Push 2 Start, Full Options, 2WD/AWD, Parking Sensors, Back Camera, Viti ngozi, 6 Airbags.

Maoni kwa mazingira yetu ya mafundi wachache wa umeme, na gharama kubwa za kuitunza turbo ni vizuri kuikimbilia injini code N46 badala ya N20 japo zote zina Cc 2000

Gharama kuagiza gari hii kwa sasa ni wastani wa 25m mpaka 26m

View attachment 1886074
 
Mkuu, kwa kuongezea...

X1 zipo generations mbili hadi sasa, E84 na F48.

BMW X1 E84

View attachment 1886150

Hizo ndio mkuu KIMOMWEMOTORS umeziongelea sana. Kuanzia mwaka 2010 na iko based on 3 series E90 platform.

Hapo uliposema engine code N46 ndio best kila mtu ana definition ya Ubora, lakini N5x nadhani ndio best engine ever made by BMW.

N5x zipo N52 ambayo ni inline 6 na N55 ambayo ni inline 6 with turbo. Zote 3.0L. (Ila kaa mbali na turbo whenever possible, kwa BMW). Kwa diesel nenda na N46 inline 4, nayo ins reputation nzuri.

Hizi bei zake zipo friendly ndio mkuu kasema hapo ata Mil 26 unaweza endesha.



BMW X1 F48

View attachment 1886151

Hizi ndio 2nd generation kuanzia 2015 hadi sasa zinaendelea bado G series zake hazijatoka.

Kwenye F series generation, BMW wali introduce turbo, kila gari almost linayo, inapelekea kua na magari yenye engine size ndogo.

Mfano hii X1 zipo hadi za cc1500 kama IST na zina cylinders 3. Engine kubwa kabisa kwenye F48 ni cc2000 na ni cylinders 4. Ila power kubwa kuliko yule mwenye 6 cylinders, cc3000. Thanks to turbo.

Hizi bei yake kidogo imechangamka na ushuru upo juu mawinguni. On average bila 50+ Million sidhani kama utaendesha.


Mchawi hela tu, ila F generation jamani tamu. Dah. BMW zoote F generation hazijawahi niangusha, kuanzia 1, 3, 5, 7 hadi Xs.

cc Bavaria Extrovert
ipi hapa nimpe zawadi ya kuzaliwa Julieth Chilita
 
Mkuu, kwa kuongezea...

X1 zipo generations mbili hadi sasa, E84 na F48.

BMW X1 E84

View attachment 1886150

Hizo ndio mkuu KIMOMWEMOTORS umeziongelea sana. Kuanzia mwaka 2010 na iko based on 3 series E90 platform.

Hapo uliposema engine code N46 ndio best kila mtu ana definition ya Ubora, lakini N5x nadhani ndio best engine ever made by BMW.

N5x zipo N52 ambayo ni inline 6 na N55 ambayo ni inline 6 with turbo. Zote 3.0L. (Ila kaa mbali na turbo whenever possible, kwa BMW). Kwa diesel nenda na N46 inline 4, nayo ins reputation nzuri.

Hizi bei zake zipo friendly ndio mkuu kasema hapo ata Mil 26 unaweza endesha.



BMW X1 F48

View attachment 1886151

Hizi ndio 2nd generation kuanzia 2015 hadi sasa zinaendelea bado G series zake hazijatoka.

Kwenye F series generation, BMW wali introduce turbo, kila gari almost linayo, inapelekea kua na magari yenye engine size ndogo.

Mfano hii X1 zipo hadi za cc1500 kama IST na zina cylinders 3. Engine kubwa kabisa kwenye F48 ni cc2000 na ni cylinders 4. Ila power kubwa kuliko yule mwenye 6 cylinders, cc3000. Thanks to turbo.

Hizi bei yake kidogo imechangamka na ushuru upo juu mawinguni. On average bila 50+ Million sidhani kama utaendesha.


Mchawi hela tu, ila F generation jamani tamu. Dah. BMW zoote F generation hazijawahi niangusha, kuanzia 1, 3, 5, 7 hadi Xs.

cc Bavaria Extrovert
demu wetu ume muhonga ipi hapo mzee baba
 
Back
Top Bottom