Swahiba naona mapaparazi wameanza kazi.Nahitaji maelezo ya kimaandishi kesho kabla ya muda wa mwisho wa saa za kazi
Weka pori vizuri tuchukue selfie ya fent fontMi nakwambia Daby ana lipepo si bure
Huyo Mkenya bado yuko nae?
Hakika mkuuSasa na uzee wangu huu ataniua kwa bp huyu
Mzee naona umenicc.
Plot nimeambiwa 20 kwa 25 bhn
Nina shida basi. Shida yangu ni kukukaribisha halafu ujifanye mwenyeji kunizidi.Hyo tano ya kwangu utabakia na 20x20 yako
Kumbe mzee couple yako siku hz ni valentina
Mimi jirani.Mie ananijua Nan?
Leo tuko hapa...Hivi mtani kwanini hukunialika? au bado?
Kwa mkenya ashatangaza na ndoa, soon tunacheza kwaito.Mi nakwambia Daby ana lipepo si bure
Huyo Mkenya bado yuko nae?
Nina shida basi. Shida yangu ni kukukaribisha halafu ujifanye mwenyeji kunizidi.
Mwenyewe ndiyo nimejua jana mzee hii couple nilikuwa sina taarifa nayo. Ila huwa sisusi.
Tayari mtani, mualiko wako niliutuma posta, vipi haukufika?Hivi mtani kwanini hukunialika? au bado?
Mimi jirani.
Jana jamaa tulikuwa kwenye uzi wake sasa akasema atatuanzishia uzi nikajua anatania.Ha ha ha mzee ntafungua duka af ntakuwa maarufu kama mpemba vileee
Ha ha ha kususa najua huwez ili ki uhalisia ni kwel ulikua huijuiii???
Kuna vitu unasingziwa sio vya hv mzee
Sema neno na nafsi yangu itapona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwa mkenya ashatangaza na ndoa, soon tunacheza kwaito.
Hivi nawe ulianza lini haya mambo ya viserengeti boy!!!
Sasa mie hilo swali linanihusuje!!!utanijibu pm.
Jana jamaa tulikuwa kwenye uzi wake sasa akasema atatuanzishia uzi nikajua anatania.
Happy birthday.Sema neno na nafsi yangu itapona