mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,919
Ha ha ha ha ha ha haWengne ndio hatuna bahati na huu mtandao kabisa, nkituma meseji hazijibiwi.. ila one day yes hapahapa ndio napaamini sio mitandao mingne kama badoo wafanyabiashara
Confirmed factSwahiba kususa susa mwisho kidume utakuja kuaibika kwa machozi
Kumjibu nini baby?Vale nisaidie kumjibu mzeewakungoa
Hata mi nimeona ni mutu musuri kabisa hii DabyWacha woga... Mbona Daby mtu mzuri tu... Watu aliowatolea nje wanampikia majungu tu.
Hapo juuKwani sio kweli mkuu?
Kumjibu nini baby?
Swahiba we mtata kwelikweliMwisho wa siku vikojoleo utabaki kuviona bucha tu
Mwambie ni really kabisaHapo juu
Muda siyo mrefu nitajiondoa JF maana imepoteza utamu wake kwa kuingiliwa na watoto wadogo.Ivi Kumbe hadi mambo ya Instagram humu JF yapo . Sikuwahi kujua .
Ila JF haijakaa Romantic kiasii hicho mnapotaka kuipeleka .., huku tumezoea kuona watu wakidiacuss NONDO....Mambo Mazito.
Embu huo.
ujiinga mliouanza upelekeni instagram
Teh teh..Labda nii-bold tuBro jitahidi ufute hiyo sentensi ya mwisho isomeke vizuri
Muda siyo mrefu nitajiondoa JF maana imepoteza utamu wake kwa kuingiliwa na watoto wadogo.
Kuna watu wanachekesha kama sio kushangazaHapo ni Senior Member tu upo hivi je ukiwa kama siye JF - Expert Member tuliotukuka utasemaje? Sasa Mtu mwenyewe hata huna impact yoyote humu JF hivi ukijitoa unadhani Sisi Great Thinkers tutapungukiwa na chochote? Hivi kama tu Total JF Members wanafikia 399,074 ukijitoa Wewe Popoma / Pumbavu mmoja na tukabakia Great Thinkers 399,073 kuna athari yoyote ya Kimantiki kweli hapo? Siku nyingine muwe mnafikiri kwanza kabla ya kuandika vinginevyo mnatuchosha na aina hii ya Upuuzi / Upupu wenu.