Ijue dawa ya kuzuia usifungwe kwenye mpira

Ijue dawa ya kuzuia usifungwe kwenye mpira

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Hii kitu enzi zetu za utoto ligi za mchangani tumetumia sana. Unachimbia golini hapo wapinzani wenu kila wakipiga mashuti ngoma inagonga mwamba au inapaa tu. Wale wa Mtwara na Lindi watanielewa sana.

Screenshot_20200215-100648.png
 
Hyo Ni sahihi na sisi tumetumia Sana.

Nyingine ilikuwa VYUMAVYUMA Kama pini, wembe yaani mazaga zaga ya vyuma vyuma, ukichimbia golini au pembeni ya gori utaona matokeo

Kizibo
 
Utoto bana !!! sisi tulikuwa tunakunja ka kidole ka mwisho ka mikono tunakunjia kidole kinachofata afu tunashika kwenye nyonyo😂😂😂😂 afu tunasema nyonyo yangu haijawai nyonyesha tunawaroga msifunge😀😀😀😁😁 au tunachimba kashimo kwenye lango la mpinzani wetu tunaweka kufuli.😀😀😀😀 half time tunahama nayo.

Jamani hata sasa hivi nikiwa naangalia Mpira hasa team yangu bado nafanyaga hivyo 😀😀😀😀 Hamna lolote wanafungwa wakicheza vibaya.
 
Utoto bana !!! sisi tulikuwa tunakunja ka kidole ka mwisho ka mikono tunakunjia kidole kinachofata afu tunashika kwenye nyonyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu tunasema nyonyo yangu haijawai nyonyesha tunawaroga msifunge[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16] au tunachimba kashimo kwenye lango la mpinzani wetu tunaweka kufuli.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] half time tunahama nayo.

Jamani hata sasa hivi nikiwa naangalia Mpira hasa team yangu bado nafanyaga hivyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hamna lolote wanafungwa wakicheza vibaya.

Naona nyonyo yako imeanza kunyonyesha sasa.
 
Back
Top Bottom