Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu

Nchi ya kiislam aisee sharia law iko governed under Malay Islamic Mornachy (MIB)

Sasa namba7 itawezekanaje?
 
Sultan ndio waziri wa ulinzi na ni waziri wa fedha pia.

"Sultan is not accountable to any legislative or watchdog body" (Jones, 2016)
 
Wanachimba Mafuta, wanayo mengi ya kutosha kuzidi idadi ya watu na mahitaji ya nchi, ndo maana huko raia mpaka Mfalme wanamwaga radhi tu.Dini ni fashion Brunei.
 
Mbona nasikia ni mabingwa wa kumwaga radhi?
 

source ya mapato yake pls
 
Vyanzo vyao vya mapato ni nini mkuu?
 
Namba 12 nimeipenda sana ila namba 6 mmmh haijakaa vizuri
 
Miaka ya nyuma uongo ulienea ukisemekana ulitokea ubalozi wa uingereza ya kuwa Brunei wanahitaji wafanyakazi wengi.

Watanzania walikuwemo na mataifa mengi ambao walikwama Malaysia na kurudishwa home.

Mshahara wakati huo walisema ni $30,000 kwa mwezi kufagia barabara mmmh mi nilishtukia hilo too good to be true
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…