1. Nchi ya kiislam iko chini ya sultani, ukubwa km 5786sq ina watu 438,720 tu mpk Feb 2016
2. Free education, free health, ukioa tu unapewa na gari. Ni nchi mojawapo ambayo ina uwiwno mkubwa wa watu na magari (1:209)
3. Ukiwa Brunei marufuku kupoint kutumia kidole cha shahada kuonesha kitu. Kidole gumba ty hutumika kupoint kitu
4. Sultan Hassanal Bolkiah, ni wa 29 anamiliki magari zaid ya 5,000 ya kifahari;
20 Lamborghinis,
160 Porsches,
130 Rolls Royces,
360 Ferraris,
170 Jaguars,
180 BMWs,
360 Bentleys, and 530 Mercedes-Benzes.
5. 93% ya watu wote wameenda shule au wanasoma
9. Mwaka mzima ni joto ikiwa na relative humidity ya 93% na mvua ni ya kutosha
10. Per capital income ni usd~39,970
11. Lazima kuv
12. Brunei ni nchi ambayo watu hawalipi kodi yeyote-tax free country
13. Sultani wa sasa bi ukoo uliotawala kwa miaka 600
#kwa_hisani_ya_google & personal visit