Ijue kwa undani nchi ya Brunei ambako Raia hawalipi kodi ni kula bata tu




nimeipenda 1,6,7,11 safi sana.
 
Niliwah kwenda mwaka 2006 ....baada ya ibada ya adhuhur tulipewa msos msikitin...nikauliza nikaambiwa ni kawaida ukibak masjid lazima upewa msos....tax ni free...hulipi unachotakiwa ni ku sagn kwenye kitabu chake dereva.....maisha mazur hilo joto lisikutishe kila mahal kunakiyoyoz had katika station za kusubir tren
 
Safi sana, mkuu wewe afadhali umenisaidia kutoa ushuhuda
 
hakuna mbongo anaweza kuuishi nchi hii ,maana mambo yetu yote yamezuiwa huko tutaishi vp
 
Bila kupata Noah, ze laga, na biological need hakuna sababu ya kwenda, hivyo ndiyo vya maana kwangu.
 
Hiyo namba nane hebu nifafanulie mkuu sijaelewa inakaaje?
 
Brunei imetulia mbaya ila du!! Mdudu no, siendi
 
Kwa Nchi ka hovyo kabisa na ka ubaguzi uliopindukia! Eti no,6 na 7 marufuku! kwanza sitaki kwenda huko.
 
Namba 6 ,7 na 9......wamefuruga ntajihisi jehanam nikiwa huko

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…