Ijue maana ya Eda

Ndoa inasuluhishwaje? Watu wanatafakarije huku mmoja wao anaoa mtu mpya? Tuacheni unafiki Waislamu aisee
Kuoa mtu mpya hakuzuwii kukurudia wewe mlietengana! Kumbuka kwenye Uislamu mume anaruhusiwa hadi wake wa nne.
 
Hii haina maana kabisa. Upendeleo dhahiri hapo. mke atulize mzuka mume ruksa kumata mzigo mwingine maisha yaendelee wakati mnasubiri usuluhishi! haiingii akilini hata kidogo. Je kama mvurugano umetokana na huyo huyo aliyeolewa baada tu ya utengano. Suluhu inakuja wapi?
 
Hunikalishi EDA km in mimbA vipimo vipo na hata km sioni umuhimu hats kidogo hiyo EDA kwa mini iwe kwa mwanamke tuuuu????? Chaaaaa akili za kukaliliashwa chabgabya na zako.
 
Hunikalishi EDA km in mimbA vipimo vipo na hata km sioni umuhimu hats kidogo hiyo EDA kwa mini iwe kwa mwanamke tuuuu????? Chaaaaa akili za kukaliliashwa chabgabya na zako.
Kuna mtu aliyekulazimisha kukaa eda mbona povuuu!! Kila dini inaustaarab wake. Kuamin unachoamini hakufanyii kudhihaki iman ya mtu. Km Mada halikuhusu ungepita........
 
Vizuri sanaaa...bonge moja la Darsa
 
Achana na kitu kinachoitwa imani kila mmoja muache Amini anachoamini.
Kwahiyo Unaamini una akili nusu? imani gani hiyo?
Halafu mnatoka barabarani na kwenye mitandao yenu ya kijinsia, tunataka haki sawa, huku mnaambiwa mna akili nusu, hata ushahidi wako 1 haukubaliki mpaka muwe wawili ndipo ulingane na mwanmume 1?
Umeulizwa swali dogo tu, iweje wewe ukae EDA wakati mumeo/mtalaka wako anaponda maisha tena kavuta chuma safii anajilia raha zake? kwanini naye asikae hiyo EDA? huna jibu unaruka ruka na kuja na sababu za kitoto eti kuchunguza iwapo una mbimba ama laa!!
kweli wewe upachikwe mbimba usijijue kama umetiwa mimba?
Wanawake wa kiislam amkeni mfikiri kwa upana hicho mnacholazimishwa kufundishwa kina ukweli au la?
Leo Binti anaongoza darasani tena kwa alama kubwa tu kuliko wavulana tena kwa mbali sana, cha ajabu anarudi mdrasa kwa shekh aliyeishia la saba, anamwambia porojo hizo kisa imani.
 
Kuna vitu kadhaa nimeongeza hapa,shukrani sana Mungu akuongezee kwa kutukumbusha na kutupa darsa.
 
Kuna mtu aliyekulazimisha kukaa eda mbona povuuu!! Kila dini inaustaarab wake. Kuamin unachoamini hakufanyii kudhihaki iman ya mtu. Km Mada halikuhusu ungepita........

Ungewatafuta hao wanaoamini uwatumie huko pm otherwise hapa ni sehemu huru usinilazimishe nitoe hoja unazotaka wewe. Natumai kwa hili povu utakua umetakata.

Akili za kuaminishwa changanya na zako.
 
Ungewatafuta hao wanaoamini uwatumie huko pm otherwise hapa ni sehemu huru usinilazimishe nitoe hoja unazotaka wewe. Natumai kwa hili povu utakua umetakata.

Akili za kuaminishwa changanya na zako.
ALIYEKUTUMA UJE UCOMMENT USICHOKIELEWA NA KISICHOKUHUSU NI NINI KAMA SI UMBEA NI NINI...AU KILA POST UNAYOIONA JF UNACOMMENT...? HAYAKUHUSU...PITA KULEEE...NENDA KUNA POST NYINGI TU ZA KUCOMMENT...UMEKUJA ILI UTUKANANE NA MTU AMA? AU UJIBIZANE AU UBISHANE KITU USICHOKIELEWA AU USICHOKIJUA...KAA MBALI DADAAAA...
 
EDA INA HEKMA NYINGI MNOOO...NA MUUMBA AMETUELEZA CHACHE...YEYE ANAZIJUA NYINGI ZAIDI...KIMAUMBILE NA KIHISIA...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…