Utafi....?Ndugu Yangu Yericko Nyerere Imfikie Hii.....
Yale Mafuriko Ya Lowassa Yaliyomsomba Mwenyewe Yaliwapa Kura 6M.....
Uchaguzi Huu Kura Hizo Sizioni......
Tundu Lissu Akifikisha Kura Za Ujumla 3M,Mimi Nita......
Thubutuuuu......
Nchi nzima Hali ya wengi ni ngumu kimaisha sababu ya sera mbovu za kuwasomesha watz namba ili wawe masikini ili watawaliwe kirahisi.Wapi kuna njaa nchi hii ?
Hamna kura za huruma jamaa akaze msuli tuLakini Sayansi ya Siasa inaweza badilishwa pia na kudra na Bahati! Au tukio ambako halikutarajiwa katika mazingira ya kawaida!
Tukio la ukatili alilofanyiwa Tundu Lissu litaibadilusha nchi hii! Iwe leo,kesho,kesho kutwa au mtondogoo !
Akili zako za kale kaam jina lako lilivyo unafikiri dunia ya xaiv ya wajinga kama ww
Bring fact to support your case. Which are those "educated areas"? What criteria you use to consider an area as educated one? Bring up figures that support you idea that opposition is understood in "educated areas"? One thing I would advise you is that avoid generalisation when trying to drive you argument that is not backed up with tangible factsFunny fact :
CCM capitalize region with low education and population as well, Meanwhile opp are well understood in educated areas and towns
But the game is not fair
Funny fact :
CCM capitalize region with low education and population as well, Meanwhile opp are well understood in educated areas and towns
But the game is not fair
Du ....kupanua goliMsomi mjinga anaegeuka kama Kinyonga wa nini?Tafuta wasomi mamluki wachaguane.
Unachagua mpinzani kesho yake anaunga juhudi za CCM kwa kuhama chama. Utitili wa malaya wa kisiasa kwa wapinzani kwenda CCM umetuvunja moyo.
Yaani wabunge wa Chadema waliendelea kuwapanulia goli CCM hadi mwisho wa bunge hili !!!! Na labda kama bunge lingeongeza mwezi mmoja tungerudi na wabunge watano tu.
Kwa hiyo Mwaka 2010 kulikuwa na vichaa M3 Mwaka 2015 M.6!we ulishawahi kuona watu wenye akili timam wanashabikia cdm? vichaa vichaa tu ndo wamejaa uko! na wengine wameamua kuwakimbia
Toa ahadi za kiwehu halafu ukiombwa "thumni" uanze kujikunakuna na kung'ata majaniNdugu Yangu Yericko Nyerere Imfikie Hii.....
Yale Mafuriko Ya Lowassa Yaliyomsomba Mwenyewe Yaliwapa Kura 6M.....
Uchaguzi Huu Kura Hizo Sizioni......
Tundu Lissu Akifikisha Kura Za Ujumla 3M,Mimi Nita......
Thubutuuuu......
Wametuvunja moyo,wala chama hakijaleta mikakati ya kuwabaini watu sampuli hiyo na kuwafukuzia mbali,kabla hawajawania nafasi za kisiasa.Du ....kupanua goli
Kwa hiyo Mwaka 2010 kulikuwa na vichaa M3 Mwaka 2015 M.6!
Wewe ni mgonjwa wa akili,marekani kuna chama chenye umri kama chadema?!,au uingereza,umri wa chama si hoja,na km hoja ni umri wa chama tusajiri chama kipya cha wiki moja,Karne hii kuongozwa na CCM wakati tulishaachana na mataipuraita masimu ya mkononi ya jeneza Yale ya kukoroga yalishapitwa na muda kitambo cc bado tuko na maccm lichama la Karne ya 19 huko hili c Jambo la kujivunia ni mkwamo wa kijamii Leo hii Nani anavaa klimprin au kutumia kamera za Kodak au yashika Yale ya zamani CCM should be crapped coz wameshindwa kuendana na wakati bado wanaitawala nchi ki Karne ya 21 unlikely kwamfano Democrats na Republicans ambao Wana miaka Mia mbili lakini wameendana na muda kwa kadri Jamii inavyobadilika so wanaabsorb mabadiliko CCM sio hivyo yenyewe inaongozwa kizamani ukiwapinga unapotezwa Mambo gani hayo ya Karne za pirating!
Usiwatukane watu.Ifuatayo ni mikoa inayombeba mgombea wa CCM kwa kura nyingi ambazo zinaenda kupatia ushindi mkubwa usiotarajiwa na washindani wake kwenye sanduku la kura.
Mikoa hii ni mikoa yenye idadi kubwa ya watu na ina maelfu wa wanachama wa CCM, hivyo kama vyama shindani hawakujikita huko mapema baada ya 2015 tu kuandaa members basi wajue hawana chao Oct 2020.
Mikoa hii ni ngome kubwa ya CCM, ni vigumu sana wakaazi wa mikoa hiyo kuwahamisha, lakini zaidi ni Magufuli.
1. DODOMA
2. TABORA
3. MWANZA
4. RUVUMA
5. SHINYANGA
6. GEITA
7. RUVUMA
8. MOROGORO
9. UNGUJA JUMLA
10. SIMIYU
11. TANGA
12. IRINGA
13. KATAVI
14. RUKWA
MIKOA ambayo haipo kwenye orodha hapo juu ni ile ya kugawana kura ambapo kura ndogo zitaongeza ujazo kwenye kura nyingi zitakazotoka kundi la mikoa iliyoorodheshwa juu.
Mikoa ya kugawana ni:
1. ARUSHA
2. KILIMANJARO
3. MARA
4. LINDI
5. MTWARA
6. PEMBA JUMLA
7. MBEYA
8. SINGIDA
3. KIGOMA
Kura za mikoa hii haziwezi kumpa ushindi mpinzani yeyote kwa sababu kura nyingi watagawana na CCM.
MIKOA isiyojulikana na yenye vigeugeu ni:
1. DAR
2. MTWARA
3. KAGERA
KURA NI MAHESABU TU. KAMA VYAMA VYA UPINZANI HAWAKUFANYA MAGAZIJUTO MAPEMA, BASI WASITUMIE GHARAMA ZA MATUMIZI HAKIKA WATAPATA HASARA BURE.
Hakuna chochote cha maana ambacho awamu hii kimefanyika kwa mikoa ya Njombe, Iringa, Mbeya na Katavi.Songwe,Katavi Njombe na Manyara hujasemea lakini ni maeneo muhimu kisiasa.
Njombe ni ngome ya CCM na hasa nyakati hizi Za Magufuli Kwa kazi aliyoifanya kwao.
Katavi ni watu hamsini Kwa hamsini Sawa na Songwe.
Manyara Kwa kipindi hiki ni ngome ya CCM kwa kiwango cha juu sana.
Katika Siasa Hamna Cha kupuuzwa lolote lawezekana
Pure Nosense,hao wenye elimu ndogo ni wepi na wenye elimu kubwa ni wepi ila mwenye akili timamu hawezi kumpigia kura lisuFunny fact :
CCM capitalize region with low education and population as well, Meanwhile opp are well understood in educated areas and towns
But the game is not fair
kimbilio coz hajira hamna mtaani, biashara za kutoka ni zile zenye mtaji mkubwa kabisaCcm inabadilika kulingana na wakati ndio maana leo imekuwa kimbilio la vijana wengi..
Wamejuwa tatizo sio ccm ila ni uongozi.
Suala la kupotea hiyo ni kanuni tu
Kwa lugha hii hujanitendea haki mimi darasa la saba cFunny fact :
CCM capitalize region with low education and population as well, Meanwhile opp are well understood in educated areas and towns
But the game is not fair
Fursa ziko kibao mtaani unataka serikali ikupe pesa bila kufanya kazi? Kazi ya serikali ni kukutengezea mazingira mazuri kama kukupa huduma ya maji, umeme, barabara, elimu na n.k. Tatizo vijana hamtaki kubadilika kutokana na wakati hamuwezi kujiongeza unakuta kijana amemaliza chuo anasubiri ajira miaka nenda rudi bila mafanikio anabaki kuilalamikia serikali na tukimuuliza je wewe umeifanyia nini nchi hii yaani mchango wako katika nchi hii ni nini? hakuna. Kuna kijana mmoja alimaza darasa la saba akaja kwangu kuniomba msaada nimlipie ajifunze mambo ya ufundi magari katika gareji moja nikamuuliza ukishajua unataka ufanye nini? akaniambia "nikijua vizuri nataka nifungue gereji yangu na si kuajiriwa". Baada ya kujua vizuri ufundi kweli akaanzisha gereji yake na sasa ameajiri vijana tisa, angekuwa na mawazo ya kuajiriwa angekuwa anatafuta ajira hadi hivi sasa. Darasa la saba anakuwa na akili ya kukabili changamoto kuliko mhitimu wa chuo kikuu ni tatizo kubwa sana kwa wahitimu wetu.Kimbilio co
kimbilio coz hajira hamna mtaani, biashara za kutoka ni zile zenye mtaji mkubwa kabisa