Ijue Nehushtani, nyoka wa shaba aliyeabudiwa na Israeli

Hebu tuambie nani alitengeneza nyoka wa Shaba ili tuondokane na huu upotoshaji wa Shemasi
 
Labda wewe nadhani hujaisoma biblia Vizuri!
Na Sio nyoka wa shamba Ni nyoka wa Shaba

Kasome andiko hili:

Hes 21:8-32 SUV​

Bwana akamwambia Musa, Jifanyie nyoka ya shaba, ukaiweke juu ya mti, na itakuwa kila mtu aliyeumwa, aitazamapo ataishi. Musa akafanya nyoka ya shaba, akaiweka juu ya mti, hata ikiwa nyoka amemwuma mtu, alipoitazama ile nyoka ya shaba, akaishi..............................
 
vema ungeweka unachokijua.
 
Wafilipi 2 : 10 - 11 " Kwa ajili ya jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya nchi; na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI BWANA, kwa utukufu wa Mungu "
Kwanini haipo specific kwamba yesu ni Mungu badala yake inakuwa yesu ni bwana
 
Pepo shindwa kwa jina la YESU.

YESU ni MUNGU na hakika tunaona ukuu wake kwa kila ombi lililohusisha jina lake na hata kwa damu yake.

Kwanini majini/mapepo, wachawi, walozi, wanga, waganga wa kienyeji, mizimu huogopa sana jina la YESU (MUNGU)?

Kwanini kupitia jina la YESU ushindi upatikane dhidi ya jaribu lolote ikiwa si MUNGU?

Kwanini ukiomba kwa majina ya Manabii kama Yakobo, Daudi au Ibrahim hujibiwi isipokuwa kwa jina la YESU pekee?



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini haipo specific kwamba yesu ni Mungu badala yake inakuwa yesu ni bwana
Unaweza kurejea chapisho langu halo awali? Kama ndio BASI fanya hivyo!

Yn 1:1-14 SUV​

Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu
 
Kwanini haipo specific kwamba yesu ni Mungu badala yake inakuwa yesu ni bwana
Yohana 1 : 1 - 4 "

Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. "
 
Muongezee na Tito 2:13
 
Mtume Mussa hakuwahi kutengeneza nyoka la shaka kama biblia inasema hivyo basi itakuwa hiyo biblia ni feki hizo habari za wayahudi wametunga Hizo History ili kumsingizia Nabii Mussa maneno ya uongo. Habari yako sio ya ukweli .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…