Hello JF members!
Na wale wasomaji !
Kuna uzushi mwingi hasa katika hii tasnia ya Utabiri...mara hivi mara vile!
Sijui shaka zao ni nini? Kuliko kuponda usichokijua bora ukae kimya bana!!
Mtandao wowote hapa TZ.Andika neno MAALIM acha nafasi MSHALE tuma kwenda 15771. Ondoa neno mshale andika nyota yako. Utaipata huduma hii kila utapotuma msg.
wapo wengi Rich!
Tatizo nlioligundua ni vile wataalam wake hawataki kuwa wakweli.
Ndicho kinapelekea kutoamini na kufuatilia. Hata wewe anza utaamini na utaendelea kunifuatilia kwenye topics zangu!
Pia unaweza tazama Gazeti la Mwananchi uk wa Nyota kila siku za wiki.
Ukitazama EATV (CHANNEL 5) katika kipindi cha Friday Night Live(FNL) nakuepo kila ijumaa ya mwisho wa mwezi.Huelezea machache hasa matukio ya kila Nyota kwa mwezi.
Gsana!
Umenfurahisha kweli kweli.
Naelezea fact ya hiyo ilm...siwezi elezea mtu aliekubabaisha. Hebu fikiria pale!......(MNH) madudu yanayofanywa na baadhi ya madaktari...kwa mtazamo wako utatushauri tusiende pale kupata huduma?