Ijue sheria ya wosia

Ijue sheria ya wosia

chapangombe

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
374
Reaction score
325
Wosia ni maandishi au maneno anayo ya tamka mtu akielezea taratibu za mazishi yake,warithi, wake baada ya kifo chake

WOSIA KATIKA SHERIA YA KIMILA

Wosia wa maneno ya mdomo lazima wawepo mashahidi wasiopungua wanne na wawili kati ya hao lazima wawe ndugu

WOSIA KATIKA SHERIA ZA KISERIKALI
wosia lazima uwe Katika maandishi mtoa wosia atakuwa na uwezo was kufuta au kuongeza sehemu yoyote ya wosia wake

WOSIA KATIKA SHERIA ZA KIISLAMU
Mtoa wosia hawezi kuusia Mali zake zote sheria ina ruhusu kuusia theruthi moja tu ya Mali na therusi mbili ni lazima ifuate taratibu za kiislam za ugaeaji

FAIDA ZA WOSIA
1.huondoa mashaka
2.unalinda Mali
3.huepusha umaskini wa ghafla

UTARATIBU WA KUFUNGUA MIRATHI
endapo marehe ameacha wosia lazima kifo kisajiliwe kwenye ofisi za wilaya ndani ya siku 30 na utapewa cheti Cha kifo

Msimamithi wa mirathi atafungua mirathi akiwa na cheti na wosia

Baada ya kufungua mahakama hutoa siku tisini ili kutoa nafasi ya pingamizi
Kama hakuna msimamithi hupewa barua ya kugawa Mali sawa sawa na wosia

Baada ya kugawa Mali msimamizi hutoa mrejesho akionyesha alivyogawa Mali
Na baada ya hapo mahakama ufunga jarada

KAMA IKITOKEA HAKUNA WOSIA

1.Cheti Cha kifo kipatikane
2.kikao Cha familia wamchague msimamizi wa mirathi
.3 muktasari wa kikao ikiwemo Mali za marehemu na wanufaika.
4.kwenda kufungua mirathi mahakamani

Wanufaika wa mirathi wanao uwezo was kumkataa msimamithi wa mirathi ikiwa ameenda kinyume na UTARATIBU
 
Mkuu asante kwa ufafanuzi makini.
chapangombe

Swali moja kwako mkuu.
Mali za marehemu ni zipi? Ni zile zinazotambulika kisheria (zina majina ya marehemu )ama pia zile zinazodhahaniwa kuwa zilikuwa ni za marehemu( mfano Kiwanja ,wanafamilia na ndugu walikuwa wanajua ni cha mwendazake lakini umiliki kisheria ni cha mwengine)

Asante.
 
Mkuu asante kwa ufafanuzi makini.
chapangombe

Swali moja kwako mkuu.
Mali za marehemu ni zipi? Ni zile zinazotambulika kisheria (zina majina ya marehemu )ama pia zile zinazodhahaniwa kuwa zilikuwa ni za marehemu( mfano Kiwanja ,wanafamilia na ndugu walikuwa wanajua ni cha mwendazake lakini umiliki kisheria ni cha mwengine)

Asante.
Ni chochote ambacho kina muhusu marehemu ikiwemo vyote vyenye jina lake
 
Wosia ni maandishi au maneno anayo ya tamka mtu akielezea taratibu za mazishi yake,warithi, wake baada ya kifo chake

WOSIA KATIKA SHERIA YA KIMILA

Wosia wa maneno ya mdomo lazima wawepo mashahidi wasiopungua wanne na wawili kati ya hao lazima wawe ndugu

WOSIA KATIKA SHERIA ZA KISERIKALI
wosia lazima uwe Katika maandishi mtoa wosia atakuwa na uwezo was kufuta au kuongeza sehemu yoyote ya wosia wake

WOSIA KATIKA SHERIA ZA KIISLAMU
Mtoa wosia hawezi kuusia Mali zake zote sheria ina ruhusu kuusia theruthi moja tu ya Mali na therusi mbili ni lazima ifuate taratibu za kiislam za ugaeaji

FAIDA ZA WOSIA
1.huondoa mashaka
2.unalinda Mali
3.huepusha umaskini wa ghafla

UTARATIBU WA KUFUNGUA MIRATHI
endapo marehe ameacha wosia lazima kifo kisajiliwe kwenye ofisi za wilaya ndani ya siku 30 na utapewa cheti Cha kifo

Msimamithi wa mirathi atafungua mirathi akiwa na cheti na wosia

Baada ya kufungua mahakama hutoa siku tisini ili kutoa nafasi ya pingamizi
Kama hakuna msimamithi hupewa barua ya kugawa Mali sawa sawa na wosia

Baada ya kugawa Mali msimamizi hutoa mrejesho akionyesha alivyogawa Mali
Na baada ya hapo mahakama ufunga jarada

KAMA IKITOKEA HAKUNA WOSIA

1.Cheti Cha kifo kipatikane
2.kikao Cha familia wamchague msimamizi wa mirathi
.3 muktasari wa kikao ikiwemo Mali za marehemu na wanufaika.
4.kwenda kufungua mirathi mahakamani

Wanufaika wa mirathi wanao uwezo was kumkataa msimamithi wa mirathi ikiwa ameenda kinyume na UTARATIBU
kama mwanzo alikubaliwa badae akaja tofaut kuna uwezekano wa kumbadilisha?
 
Wosia ni nyaraka ya kisheria ambayo inaonyesha matakwa na maagizo ya mtu kuhusu namna mali yake itakavyogawiwa baada ya kifo chake. Wosia unaweza kujumuisha maelekezo kuhusu jinsi mali inapaswa kugawiwa kati ya warithi, uteuzi wa wasimamizi wa mali, na mambo mengine yanayohusiana na urithi wa mtu.


Nia ya kuandika wosia ni kuhakikisha kwamba matakwa ya mtu yatatekelezwa ipasavyo baada ya kifo chake. Wosia unaweza kuwa na athari za kisheria na unaweza kutambulika na mahakama mara tu baada ya kifo cha mwandishi wa wosia.

 
IMG-20240117-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom