My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
Rais wetu mpendwa mama Samia ametoa agizo kwa BOT ianze mchakato wa kuruhusu Sarafu za mtandaoni zinazojulikana kama Crypto-Currency au virtual money zianze kutumika.
Wakati kuna baadhi ya mataifa makubwa Kama China hayataki matumizi ya sarafu hizo. Rais Samia alikuwa sahihi kabisa kuruhusu matumizi ya Crypto-currency kwa nchi yetu kwa sababu sarafu hizo ni sawa na Dhahabu hubadilisha maisha ya mtu ghafla, kutoka kwenye umaskini wa kutupwa hadi kuwa Bilionea wa kutupwa.
Mataifa makubwa yanaogopa kuruhusu matumizi ya Crypto-currency kwa sababu ya kuhofia anguko la uchumi wao.
KWANINI MATAIFA MAKUBWA YANAOGOPA CRYPTO-CURRENCY?
Mataifa makubwa yanaogopa kuruhusu matumizi ya Crypto-currency kwa sababu yana viwanda vingi ambavyo vinahitaji nguvu kazi ya vijana ,kwa hiyo inapotokea vijana wamejua Crypto-currency itawafanya wakae mbali na vibarua vya viwandani kazi zingine ngumu.
Kwa Taifa maskini kupindukia kama Tanzania, Crypto-currency ni Sarafu salama ya kutengenezea mtaji.
MTU ANAPATAJE MTAJI KUPITIA CRYPTO-CURRENCY?
Sarafu ya kwanza ya mtandaoni ni Bitcoin ambayo hadi sasa inatumika na ndo sarafu yenye Thamani kuliko zote Duniani, Bitcoin moja sasa hivi ni sawa na Tsh 136,000,000. Wakati inaanza, Bitcoin moja iliuzwa Tsh 200, wat wengi mno waliibeza ,na walionunua na kutunza leo hii ni matajiri
Baada ya mafanikio ya Bitcoin, zilianzishwa Sarafu nyingi pote Duniani.ingia hapa uzione[emoji116]coinmakertcap.com
Unanunua kwa bei sawa na Bure baada ya miezi kadhaa au miaka inapanda bei na kukutajirisha kabisa.
Thamani yake hupanda kulingana na jinsi watu wanavyoinunua,watu wakiwa wengi zaidi na Thamani yake inakuwa kubwa zaidi. Sarafu hizi hutumika kwenye manunuzi kimataifa na pia unaweza kuziuza na kuchukua Fedha Taslimu. Nimeeleza kifupi sana kwa sababu ya muda.
Wakati kuna baadhi ya mataifa makubwa Kama China hayataki matumizi ya sarafu hizo. Rais Samia alikuwa sahihi kabisa kuruhusu matumizi ya Crypto-currency kwa nchi yetu kwa sababu sarafu hizo ni sawa na Dhahabu hubadilisha maisha ya mtu ghafla, kutoka kwenye umaskini wa kutupwa hadi kuwa Bilionea wa kutupwa.
Mataifa makubwa yanaogopa kuruhusu matumizi ya Crypto-currency kwa sababu ya kuhofia anguko la uchumi wao.
KWANINI MATAIFA MAKUBWA YANAOGOPA CRYPTO-CURRENCY?
Mataifa makubwa yanaogopa kuruhusu matumizi ya Crypto-currency kwa sababu yana viwanda vingi ambavyo vinahitaji nguvu kazi ya vijana ,kwa hiyo inapotokea vijana wamejua Crypto-currency itawafanya wakae mbali na vibarua vya viwandani kazi zingine ngumu.
Kwa Taifa maskini kupindukia kama Tanzania, Crypto-currency ni Sarafu salama ya kutengenezea mtaji.
MTU ANAPATAJE MTAJI KUPITIA CRYPTO-CURRENCY?
Sarafu ya kwanza ya mtandaoni ni Bitcoin ambayo hadi sasa inatumika na ndo sarafu yenye Thamani kuliko zote Duniani, Bitcoin moja sasa hivi ni sawa na Tsh 136,000,000. Wakati inaanza, Bitcoin moja iliuzwa Tsh 200, wat wengi mno waliibeza ,na walionunua na kutunza leo hii ni matajiri
Baada ya mafanikio ya Bitcoin, zilianzishwa Sarafu nyingi pote Duniani.ingia hapa uzione[emoji116]coinmakertcap.com
Unanunua kwa bei sawa na Bure baada ya miezi kadhaa au miaka inapanda bei na kukutajirisha kabisa.
Thamani yake hupanda kulingana na jinsi watu wanavyoinunua,watu wakiwa wengi zaidi na Thamani yake inakuwa kubwa zaidi. Sarafu hizi hutumika kwenye manunuzi kimataifa na pia unaweza kuziuza na kuchukua Fedha Taslimu. Nimeeleza kifupi sana kwa sababu ya muda.