😂Eti.
Aaakaaa natakapi mie mbali kote huko[emoji23]Eti.
Au ulikuwa umeenda likizo kipumbwi?
Ok mkuu hamna neno.Aaakaaa natakapi mie mbali kote huko
Nipo hapaa mashado napunga upepo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba kila jukwaa upo duh [emoji27]mate yananidondoka nilivosikia pilipili
kawaida tu mi ni askari wa miguu napiga doriaMzee baba kila jukwaa upo duh [emoji27]