Ijue siri ya Kwanini biashara nyingi zinakufa?

youngkato

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,319
Reaction score
3,097
Asilimia 95 ya biashara zinazoanzishwa zinakufa ndani ya mwaka mmoja

Asilimia tatu zinakufa ndani ya miaka mitatu

Asilimia mbili tu ndo zinafanikiwa

Kuna sababu kuu tatu zinazoua biashara

1. Kufanya biashara za kuigana bila kufanya utafiti wa kutosha

2. Kudharau technologia unakuta mtu anafungua biashara anasubiri tu wateja wajilete wenyewe

3. Ujuaji (watu hawataki kijifunza wanakimbia kufungua biashara kisa tu wamepata hela)

4. Kuuza bidhaa nyingi tofauti kwa wakati mmoja, tafuta bidhaa moja komaa nayo

Kuna sababu nyingine nyingi sana

Usiache kujifunza
 
Umesahau kuweka TRA

Halafu namba 4 sio kwa kila biashara
 
nshawaza kuuza biashara yangu kwahiyo naingia kundi la hizo zilizo fail i guess

Kuna mambo ya kijifunz kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…