Ijue tiba dhidi ya utumiaji wa pombe pamoja na sigara kupindukia

Ijue tiba dhidi ya utumiaji wa pombe pamoja na sigara kupindukia

Omuziba

Member
Joined
Jun 30, 2017
Posts
57
Reaction score
12
Matumizi ya pombe kupindukia(alcoholism ) na sigara(nicotinic addiction ) vimekuwa ni chanzo cha kushuka kwa uchumi katika familia nyingi za kitanzania
Habari njema ni kwamba kampuni ya Alliance Global in Motion imekuletea dawa dhidi ya matatizo hayo pia na matatizo mengine mengi
Dawa dhidi ya pombe ni COMPLETE pamoja Restor lyf
Nzuri zaidi kampuni imekuletea fursa itakayokuwezesha kuingiza zaidi ya milioni
moja kwa wiki piga 0757409103
Update ufafanuzi zaidi
 
Matumizi ya pombe kupindukia(alcoholism ) na sigara(nicotinic addiction ) vimekuwa ni chanzo cha kushuka kwa uchumi katika familia nyingi za kitanzania
Habari njema ni kwamba kampuni ya Alliance Global in Motion imekuletea dawa dhidi ya matatizo hayo pia na matatizo mengine mengi
Dawa dhidi ya pombe ni COMPLETE pamoja Restor lyf
Nzuri zaidi kampuni imekuletea fursa itakayokuwezesha kuingiza zaidi ya milioni
moja kwa wiki piga 0757409103
Update ufafanuzi zaidi
Wewe ndie ulipaswa kutoa ufafanuzi, ajabu unataka upigiwe.
 
Matumizi ya pombe kupindukia(alcoholism ) na sigara(nicotinic addiction ) vimekuwa ni chanzo cha kushuka kwa uchumi katika familia nyingi za kitanzania
Habari njema ni kwamba kampuni ya Alliance Global in Motion imekuletea dawa dhidi ya matatizo hayo pia na matatizo mengine mengi
Dawa dhidi ya pombe ni COMPLETE pamoja Restor lyf
Nzuri zaidi kampuni imekuletea fursa itakayokuwezesha kuingiza zaidi ya milioni
moja kwa wiki piga 0757409103
Update ufafanuzi zaidi
Kwa kweli sijaelewa na sijakuelewa.
 
Namchukia sana mtu anaekuja nitangazia biashara yake halafu analazimisha nimtafute badala ya kunifanya nihangaike kumtafuta!
 
Kwa kweli sijaelewa na sijakuelewa.
Mkuu hujaelewa wapi tiba dhidi ya madawa drug addition (mfano MTU kujihisi vibaya mpaka atumie pombe au sigara) kitu kinacho sababishwa na mtu kutumia madawa ya kulevya Mara kwa Mara na kuusababisha ubongo uzoee na uanze kusoma uhitaji wa pombe/sigara/bangi tiba yake ni COMPLETE na RESTOR LYF ambayo inafanya kazi ya kurudisha ubongo ktk hali ya kawaida
 
Mkuu hujaelewa wapi tiba dhidi ya madawa drug addition (mfano MTU kujihisi vibaya mpaka atumie pombe au sigara) kitu kinacho sababishwa na mtu kutumia madawa ya kulevya Mara kwa Mara na kuusababisha ubongo uzoee na uanze kusoma uhitaji wa pombe/sigara/bangi tiba yake ni COMPLETE na RESTOR LYF ambayo inafanya kazi ya kurudisha ubongo ktk hali ya kawaida



nadhani ingekuwa busara kama ungetolea ufafanuzi kuhusiana na:
1. Jina la dawa
2. Bei ya dawa
3. Matumizi yake
4. Mahali iliko ofisi yako
5. Namna hiyo fursa ya kuingiza mamilioni inavyopatikana
6. Na mengine muhimu kuhusiana na dawa yako.
 
nadhani ingekuwa busara kama ungetolea ufafanuzi kuhusiana na:
1. Jina la dawa
2. Bei ya dawa
3. Matumizi yake
4. Mahali iliko ofisi yako
5. Namna hiyo fursa ya kuingiza mamilioni inavyopatikana
6. Na mengine muhimu kuhusiana na dawa yako.
Asante sana mkuu
1.Jina la dawa/tiba ni COMPLETE pamoja na Restor lyf
2.bei : 1.complete=70000, Restor lyf 90000
3.matumizi yake:dawa zipo ktk mfumo wa vidonge hivyo baada ya kununua utaelekezwa jinsi ya kutumia .
4.kwa dar es salaam ofisi iko ktk jengo lilopo makumbusho stand gorofa ya pili
Pia ofisi nyingine zipo Dodoma, mwanza , mbeya, Kilimanjaro, kagera n.k


5.Namna ya kijiunga MTU yeyote anaweza kujiunga baada ya kupewa semina juu ya fursa. Ambapo kutokana na semina ataamua mwenyewe kua anataka kujiunga/ kutojiunga

Mpaka sasa semina zinatolewa ktk mikoa mbalimbali Tz ndo maana nikaweka contact kwa anayehitaji tiba au kujoin kwamba anitext nimuelekeze
 
Asante sana mkuu
1.Jina la dawa/tiba ni COMPLETE pamoja na Restor lyf
2.bei : 1.complete=70000, Restor lyf 90000
3.matumizi yake:dawa zipo ktk mfumo wa vidonge hivyo baada ya kununua utaelekezwa jinsi ya kutumia .
4.kwa dar es salaam ofisi iko ktk jengo lilopo makumbusho stand gorofa ya pili
Pia ofisi nyingine zipo Dodoma, mwanza , mbeya, Kilimanjaro, kagera n.k


5.Namna ya kijiunga MTU yeyote anaweza kujiunga baada ya kupewa semina juu ya fursa. Ambapo kutokana na semina ataamua mwenyewe kua anataka kujiunga/ kutojiunga

Mpaka sasa semina zinatolewa ktk mikoa mbalimbali Tz ndo maana nikaweka contact kwa anayehitaji tiba au kujoin kwamba anitext nimuelekeze
hii nayo kama makampuni mengine yanayohusika na uuzaji wa bidhaa za food supplements?
 
Asante sana mkuu

5.Namna ya kijiunga MTU yeyote anaweza kujiunga baada ya kupewa semina juu ya fursa. Ambapo kutokana na semina ataamua mwenyewe kua anataka kujiunga/ kutojiunga

Mpaka sasa semina zinatolewa ktk mikoa mbalimbali Tz ndo maana nikaweka contact kwa anayehitaji tiba au kujoin kwamba anitext nimuelekeze
Kujiunga tena!!
 
Back
Top Bottom