Ijue timu ya AS Vita Club ya DR Congo mpinzani wa pili wa Simba SC kwenye Klabu Bingwa Afrika

Mikia wakiwafunga As Vita kwao ..watakuwa mabingwa 2019
 
Hapo Mikia FC lazima waombe pooo...
 
As Vita club key players
FW- Jean Mac Makusu
LW- Ducapel Moloko
AM- Fabrice Luamba Ngoma *Huyu sasa ndio engine yao*
CM- Mukoko Tonombe
CB- Yannick Bangala Litombo *Mimi namuita Jini mkata kamba*
LWB- Godly Ngonda Muzinga *Huyu sasa ndio star wa timu*

Hii ndio kazi mpya na kipimo hasa cha ubora na ukomavu wa mikia
*Wacha tuone*

Tuwaombee sana mikia
 
Huyo Mukoko Tonombe nilimwona siku wanacheza na al ahaly ni balaa si mchezo. Inabidi Simba wajiandae vizuri hasa viungo. Akina Chama na Mkude wakicheza kama walivyocheza na Waarabu wa JS Soura watachemsha.
 
Uwiiii. Wapi Mikia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Mmeisoma hii yaani kuna Ma FW, LW, CM, CB, LWB na mpaka AM. Teh teh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…