chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nadhani Gerson Msigwa aanze kupima utendaji wa sektretariat za habari kwa kuangalia social media engagement. Na wakifanya hivyo, Makao Makuu ya Idara ya Habari (Maelezo) iwe inapewa taarifa
Imagine. Ukurasa rasmi wa ofisi ya mkuu wa mkoa (Instagram page) hauna habari yoyote iliyowekwa tangu January 2024. Hii haimtendei haki mkuu wa mkoa ambaye kafanya mengi sana kwa mwaka nzima. Haimtendei haki Rais Samia ambaye kapaisha bei ya kahawa na kuondoa tozo za hovyo. Hata hilo ofisa habari wa mkoa hakutaka kuliweka?
Nadhani sasa kila mkoa, halmashauri, Idara au taasisi, zifanyiwe mapitio na Wizard katika mitandao yao kama iko hai. Msigwa hawezi kuwa kila sehemu, unlike katika sehemu yao, fanya jukumu lako.
Watanzania wengi kwa sasa wanapata habari katika social media, kwa hiyo uwepo wa serikali mitandaoni ni muhimu sana, kwa kuwa itakuwa inaongea na wananchi.
Pengine fursa za uwekezaji zingekuwa posted hapa, walangira wangezidi kukumbuka kwao, pengine tamaduni, na mambo ya kijamii yangewatekenya. Au changamoto zingewavuta warudi kuzitatua
N. B.: mikoa yote wanakumbuka kwao isipokuwa hawa jamaa, imebidi serikali iwakumbushe warudi Kikuraijo, Kanyigo na Mushaha.
#SimbaNguvuMoja
Imagine. Ukurasa rasmi wa ofisi ya mkuu wa mkoa (Instagram page) hauna habari yoyote iliyowekwa tangu January 2024. Hii haimtendei haki mkuu wa mkoa ambaye kafanya mengi sana kwa mwaka nzima. Haimtendei haki Rais Samia ambaye kapaisha bei ya kahawa na kuondoa tozo za hovyo. Hata hilo ofisa habari wa mkoa hakutaka kuliweka?
Nadhani sasa kila mkoa, halmashauri, Idara au taasisi, zifanyiwe mapitio na Wizard katika mitandao yao kama iko hai. Msigwa hawezi kuwa kila sehemu, unlike katika sehemu yao, fanya jukumu lako.
Watanzania wengi kwa sasa wanapata habari katika social media, kwa hiyo uwepo wa serikali mitandaoni ni muhimu sana, kwa kuwa itakuwa inaongea na wananchi.
Pengine fursa za uwekezaji zingekuwa posted hapa, walangira wangezidi kukumbuka kwao, pengine tamaduni, na mambo ya kijamii yangewatekenya. Au changamoto zingewavuta warudi kuzitatua
N. B.: mikoa yote wanakumbuka kwao isipokuwa hawa jamaa, imebidi serikali iwakumbushe warudi Kikuraijo, Kanyigo na Mushaha.
#SimbaNguvuMoja