Mbona ombaomba wengi nimekuwa nikiwaona siku za Ijumaa wakipita wakiomba,sijawahi kuwaona jmamosi au jumapili,na vilevile nimekuwa nikiwaona unapoanza mwenzi Mtukufu wa kufunga wa Waisilamu na Iddy lakini siyo kipindi cha mfungo wa pasaka au kalibu na X-Mass?tuchangie kwa upendo