Hakuna siku inayofahamika zaid kama siku ijumaa,, hata kama ulikuwa umesahau Leo siku gani..
Kwanza ukiamka tu ukiingia WhatsApp,Facebook,Instagram unakutana na status hz
Ijumaah Kareem,, Ijumaah njema zikifatiwa na picha za wadada wamevaa hijab, Nikab Za hatari utadhan tupo Hijja, wakaka wamevaa balaghashia hata ya mufti mkuu inasubiri
Baada ya masaa matano,, ukipitia kurasa zao unakutana na status hz
One for the road At Kona Pub,,
Weekend mood bata Batani,,
Mwisho zaidi utachoka pale unapoona mtu kapost halafu kaandika hv,,, Bia ni Kitimoto[emoji28] [emoji28] [emoji28] ,,,,
Ijumaa Kareem,,