Kuna jamaa angu nilimwambia mwaka Jana baada ya Yule mchezaji wa Kwanza kujitangaza Ni shoga ,nilimwambia Kifuatacho soon watatumia wachezaji wenye ushawishi , au kutoka vilabu vikubwa
Soon tutarajie kujitokeza kwenye Ligi pendwa EPL, huu Ni mpango wa Freemason na illuminati
Kwenye Zile degree 33 Kila degree ina kazi yake , mfano degree ya 18 Croix rose Ni kuingiza misalaba ya kila Aina kwenye nyumba za ibada,
Sasa Kuna degree nyingine kazi yake Ni kuingiza Mambo ya wanawake kuwa viongozi makanisani na kuingiza ushoga pia , hivo kwenye jamii lazima watumie Zile sehemu zenye watu wengi.
Soon tutegemee kuona wachezaji wakubwa kutoka Ligi kubwa 5 wakijitangaza Ni mashoga ,ili ionekane kuwa shoga kitu Cha kawaida