Iker Casillas atangaza kuwa shoga

the bidhaa

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2022
Posts
268
Reaction score
761
Legend wa Real Madrid na Timu ya Taifa ya Spain, golikipa Iker Casillas kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter ametangaza kuwa yeye ni shoga.
Source; Fabrizio Romano page fb
 
Kuna jamaa angu nilimwambia mwaka Jana baada ya Yule mchezaji wa Kwanza kujitangaza Ni shoga ,nilimwambia Kifuatacho soon watatumia wachezaji wenye ushawishi , au kutoka vilabu vikubwa

Soon tutarajie kujitokeza kwenye Ligi pendwa EPL, huu Ni mpango wa Freemason na illuminati

Kwenye Zile degree 33 Kila degree ina kazi yake , mfano degree ya 18 Croix rose Ni kuingiza misalaba ya kila Aina kwenye nyumba za ibada,

Sasa Kuna degree nyingine kazi yake Ni kuingiza Mambo ya wanawake kuwa viongozi makanisani na kuingiza ushoga pia , hivo kwenye jamii lazima watumie Zile sehemu zenye watu wengi.


Soon tutegemee kuona wachezaji wakubwa kutoka Ligi kubwa 5 wakijitangaza Ni mashoga ,ili ionekane kuwa shoga kitu Cha kawaida
 
Anatutangazia ili nini?

Si mambo yake ya sirini? Kama anatifuliwa mavi, si ya kwake? Ina maana kakosa mwanaume, ikabidi ajiuze sokoni kwa kujitangaza?

Kwani angekaa kimya asingekuwa shoga?

Upumbavu tu. Ni njia ya kueneza ushoga, ee Mwenyenzi Mungu tuepushe na maswaibu haya ya dunia.
 
Wanataka ku validate Upumbavu wao uonekane normal...Wangese sana hawa mbwa
 
Biashara matangazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…