Iki biashara yako idumu miaka kumi ijayo fanya yafuatayo

Iki biashara yako idumu miaka kumi ijayo fanya yafuatayo

youngkato

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,319
Reaction score
3,097
Mwaka 2010 asilimia 5% tu ya biashara zilikuwa zinatumia social media. Leo 2024 asilimia 98% ya biashara zote zinatumia social media.


Leo 2024 asilimia 5% tu ya biashara zinatumia AI


Kama unataka kuanza freelancing
Hii ndo niche sahihi ya kuishi nayo miaka kumi ijayo.

Karibu DM
IMG_20240801_090129_348.jpg
 
Mtoa mada naomba Maelezo kidogo yenye mafunzo tafadhali ...

#YNWA
 
Unazingua, kichwa na body haviendani yani ni sawa na kichwa cha scania engine ya isuzu.
Kwamba ili biashara zetu zidumu tunatakiwa kukufata dm?
 
Back
Top Bottom