youngkato JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 3,319 Reaction score 3,097 Aug 1, 2024 #1 Mwaka 2010 asilimia 5% tu ya biashara zilikuwa zinatumia social media. Leo 2024 asilimia 98% ya biashara zote zinatumia social media. Leo 2024 asilimia 5% tu ya biashara zinatumia AI Kama unataka kuanza freelancing Hii ndo niche sahihi ya kuishi nayo miaka kumi ijayo. Karibu DM
Mwaka 2010 asilimia 5% tu ya biashara zilikuwa zinatumia social media. Leo 2024 asilimia 98% ya biashara zote zinatumia social media. Leo 2024 asilimia 5% tu ya biashara zinatumia AI Kama unataka kuanza freelancing Hii ndo niche sahihi ya kuishi nayo miaka kumi ijayo. Karibu DM
KAKA YULE JF-Expert Member Joined May 2, 2024 Posts 275 Reaction score 478 Aug 1, 2024 #2 Mpaka gen z
Liverpool VPN JF-Expert Member Joined Aug 29, 2020 Posts 6,958 Reaction score 16,358 Aug 1, 2024 #3 Mtoa mada naomba Maelezo kidogo yenye mafunzo tafadhali ... #YNWA
stabilityman JF-Expert Member Joined Jul 9, 2024 Posts 259 Reaction score 483 Aug 1, 2024 #4 Sawa freelanc ni nini tuanzie hapo
Smith Rowe JF-Expert Member Joined Sep 18, 2018 Posts 4,319 Reaction score 9,003 Aug 1, 2024 #5 Unazingua, kichwa na body haviendani yani ni sawa na kichwa cha scania engine ya isuzu. Kwamba ili biashara zetu zidumu tunatakiwa kukufata dm?
Unazingua, kichwa na body haviendani yani ni sawa na kichwa cha scania engine ya isuzu. Kwamba ili biashara zetu zidumu tunatakiwa kukufata dm?