Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

Lissu has all the characteristics of a sleeper agent,kwa hiyo naamini ni agent.Infact yeye nadhani ni double agent,he works for the West and the GoT.Akina Dr.Slaa,Zitto,Mbowe,Prof.Lipumba,Mdee nk.ni agents wa serikali.Uingizwaji wa akina Mdee et.al. Bungeni,Dr.Slaa kupewa Ubalozi,Mama Mgwira( aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,marehemu sasa),Queen Sendiga (aliygombea Urais,sasa nadhani ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa) unapaswa kuwafumbua watu macho.So hii ina maana gani,Tanzania hakuna upinzani?Yes,hii ni distortion tu.
 
Hata Halima mdee yule ni agent.
Nilishangaa mdee kubusu picha ya Magufuli licha ya kipigo cha ukonga.
 
Toka vyama vingi vianzishwe viongozi karibu wote huwa planted , ukiona wanamwagiana marisasi jua wamesigana. Au maslahi wanaharibiana. Pointi kubwa na nzito kwako niliyoiokota ni kutokuamini mtu. Baaasi.
 
Umekaa na vibaka wenzako ukaja na thread ya luteni urio kama hiyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa tasfiri yako ni kuwa
-Shetani alikuwa planted...
-Yesu alikuwa planted....
-Mohammed alikuwa planted...
-Baba yako alikuwa planted...
-Mama yako alikuwa planted...
-Wewe mwenyewe ni planted...


Kila mtu ni planted.
 
hatari
 
Hata Kibatala ni TISS.

Ni kazi ngumu sana kuipigania dola inayoishi kwa uongo, ulagaghai na propaganda. You can’t tell black from white.
 
Lissu ana all the characteristics of a sleeper agent.
Kumbe, ukiwa unaisumbua sana serikali hasa kwenye ukweli, unakua ni Agent wa GoT,

And ukienda mbali zaidi unakua agent wa the WesT.

Acheni utoto, Sleeper Agents they do exist, but sio kwa mtu kama TL.

Ukihitaji kulitambua hilo, Go and observe vitu gani muhimu ili uwe sleeper Agent.
🌍
🇹🇿
✌️
 
atti
 
Kuna ukweli fulani kwa mbali, ngoja tuone. Mimi niliacha mihemko 2015 baada ya kuambiwa nimchague Lowasa kuwa Raisi wa Nchi na wale walioniambia Lowasa hafai hata kuwa balozi wa nyumba 10.
 
Kazi ipo, nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Lissu ni pandikizi
 
Tunapambanie vinavyotupeleka chooni haya ya siasa tuwaachie waigizaji wanufaikaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…