Ikifika 2030 hali haitakuwa nzuri kwa baadhi ya wanawake

Wewe una minyoo sio bure, mimi nipigwe za uso na nani?? Nani mwenye jeuri ya kunipiga za uso?? Wee mwenyewe ulileta ngwala ngwala zako pm kutaka kunijua bladfaken wee 🀣🀣🀣
Furaha kupitiliza mitandaoni nadhani kuna kitu hakipo sawa kwenye uhalisia wa maisha yako.
 
Alafu huko empty sana upstairs sasa masuala ya PM ni ya nini hapa Public ? Aisee una shida kidogo halafu ulikuja kwa I'd nyingine sio hii 🀣🀣🀣
Wee ujue kiazi, upstairs JF mimi itanisaidia nini? Kuna jimbo nagombea ubunge hivyo nihitaji kujinadi??
Mimi nilikuja? Au wewe ulikuja?
Katika watu nawaona vichaa JF na wewe mmojawapo 😹😹
Toka useme ulikuwa na yule mwanajeshi hotelini peke yenu ulinihuzunisha sana.!!
Unajua ndiomana nakuitaga nyuki wa mashineni…!
 
Siwezi kujibishana wala kutukanana na Wewe JamiiForums ni msaada mkubwa sana kwangu binafsi.
Ushauri punguza mihemko ya kuandika lugha ambazo hazina staha unawashalilisha hata Wazazi/Walezi wako
 
Siwezi kujibishana wala kutukanana na Wewe JamiiForums ni msaada mkubwa sana kwangu binafsi.
Ushauri punguza mihemko ya kuandika lugha ambazo hazina staha unawashalilisha hata Wazazi/Walezi wako
Tayari panic mode πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Manyanza hii week siko vizuri usinichokoze, subiri roho mtakatifu akinishukia.. hii week roho mtaka bifu kasimamia kucha usitafute kiki kabisaaa.!!
 
Furaha kupitiliza mitandaoni nadhani kuna kitu hakipo sawa kwenye uhalisia wa maisha yako.
Kumbe furaha yangu inakutesa?? πŸ˜‚πŸ˜‚
Hii nayo kiboko sasa!! Kwani tunajuana manyanza? Em tulia bana sitaki kukuchachua ujue wee best yangu, halafu nakujua huchelewi kutia huruma..!
 
Kunawakaaa humuu eeeeh? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama wanaume wanachohitaji toka kwa wanawake ni sex na watoto tu kwanini bado mnaoa naomba unijibu hili swali straight forward bila kona kona tafadhali, niambie kwanini pamoja na maovu yote haya ya wanawake lakini bado kila kukicha mnawaoa ilihali mna uwezo wa kupata sex na watoto hata bila ndoa, najua utasema wanaoolewa ni wife material tu ila bado nitakuuliza tena kama ni hivyo mbona hata huko kwenye ndoa bado mnalalamika na kila siku ndoa zinaendelea kuvunjika huku mkidai chanzo ni wanawake

Ukweli ni kwamba uhitaji wa wanawake kwenye ndoa ni mdogo kwa sababu asilimia kubwa ya vitu wanavyovipata kwenye ndoa wana uwezo wa kuvipata nje ya ndoa na siyo tu nje ya ndoa bali pia hata nje ya mahusiano ya kawaida, ila wanaume asilimia kubwa ya vitu mnavyovihitaji hamuwezi kuvipata bila kuwa na ndoa au mahusiano rasmi na wanawake, wanaume mna mahitaji makubwa ya kisaikolojia kuliko wanawake na mahitaji yenu ya kisaikolojia viumbe pekee wanaoweza kuwapatia ni wanawake mlionao kwenye mahusiano rasmi au ndoa tu ila mwanamke mahitaji yake ya kisaikolojia siyo lazima yahitaji mwanaume

Unajua saikolojia ya mwanaume na mwanamke ziko tofauti mwanaume anapenda akitoka kwenye mihangaiko akirudi nyumbani amechoka akute mwanamke wake kamuandalia chakula na mazingira mazuri, na pia amfariji na amliwaze ili kumuondolea stress na uchovu hakuna mwanaume asiyependa hayo yani hayo kwenu ni muhimu na mnayachukulia kwa uzito ndio maana mkiyakosa mnaenda kutafuta michepuko (ambao nao pia ni wanawake), yani kwa kifupi furaha ya mwanaume inategemea wanawake mwanaume hata atafute pesa na awe tajiri vipi bado furaha yake haitakuwa imekamilika hadi atumie hizo pesa zake na wanawake

Na ndio maana wanawake wakiwavuruga huwa mnakuwa na stress na depression kiasi cha kupunguza hadi ufanisi kwenye tendo la ndoa na shughuli za utafutaji lakini kwa wanawake ni tofauti mwanamke furaha yake haimtegemei mwanaume tu ana uwezo wa kupata furaha kutoka kwa watu tofauti tofauti wazazi, marafiki, ndugu na jamaa na hasa watoto, yani mwanamke anaweza akatoka kazini amechoka lakini akirudi tu nyumbani akakuta watoto wake wana furaha basi naye anapata furaha hata kama mumewe kamvuruga mwanamke ana uwezo wa kumaliza stress zake kwa kumtafuta hata shoga yake wakapiga umbea wakamsema mtu na maisha yakaendelea, mwanamke siyo rahisi akapunguza ufanisi kwenye utafutaji eti kisa mumewe anamvuruga sababu ana watu wengi wanaoweza kumpa furaha tofauti na wanaume ambao wanawategemea wapenzi au wake zao tu

Na ndio maana nasema sababu kubwa inayompeleka mwanamke kwenye ndoa ni financial security hizo nyingine ni minor reasons mwanamke akikosa hiko kwenye ndoa ana uwezo wa kukipata nje ya ndoa kwa kujitafutia mwenyewe pesa na mali zake, ila mwanaume sababu kubwa inayompeleka kwenye ndoa ni mahitaji ya kisaikolojia na mahitaji haya ni ngumu kuyapata nje ya ndoa au mahusiano rasmi na mwanamke yani kwa kifupi hayo mahitaji huwezi kuyapata kwa kununua malaya, kwahiyo kitendo cha wanawake kuanza kutafuta ndoa wakiwa na 35+ kinaonesha jinsi gani uhitaji wa ndoa kwa wanawake siyo kipaumbele bali unategemea na hali aliyonayo na jamii inayomzunguka, kwa sababu laiti kama huo uhitaji ungekuwa ni kipaumbele basi wanawake wangehitaji ndoa tangu wakiwa kwenye early 20s wasingesubiri hadi wawe broke au rejects na ofcourse hawawezi kuwa pressurized na jamii kuolewa katika umri huo kwa sababu umri huo kwa dunia ya sasa bado ni umri mdogo ukizingatia wengi wanakuwa bado wanasoma, lakini mwanaume yeye pamoja na kwamba hana pressure yoyote toka kwenye jamii ya kuoa na pamoja na kwamba haoi kwa msukumo wa factor ya umri au maumbile lakini bado anaoa bila kulazimishwa wala kushurutishwa na mtu sasa hapo kiuhalisia nani mwenye uhitaji zaidi na ndoa
Nihangaike kumfahamu feminist ili iweje, mi nakuona mwanamke wa hovyo tu
Sasa wewe mwenyewe si ndio umetoka kusema kwamba unanifahamu, na unahisi wewe ukiniona mimi wa hovyo inanipunguzia nini kwenye maisha yangu labda, wewe ni nani hadi uhisi kwamba mtazamo wako juu yangu ni kitu cha kunifanya mimi nijali
Tatizo ni kwamba mwanamke hawezi kuishi bila mwanaume, jinsi alivyoumbwa kaumbwa kuongozwa na kutawaliwa, sasa kwa point ya mleta mada mwanamke ndio ataumia zaidi.
Kama wanawake wangekuwa wameumbwa kuongozwa na kutawaliwa, kwanini automatically wasingekuwa wanakubali kuingia kwenye ndoa wakiwa kwenye early 20s, kwanini wanasubiri hadi wafike kwenye late 30s huko tena wengi wakiwa broke au rejects ndio waanze kutaka ndoa
Ndio maana nikasema hayo yote yanatokana na msukumo wa jamii kitendo cha mwanamke kufikia hatua ya kutafuta hata mwanaume anayepumua tu siyo suala la personal choice bali kuna pressure nyuma yake, na hii pressure siyo inner motive kwa sababu ukimtoa huyu mwanamke ukampeleka kwenye jamii ambayo haihangaiki na wanawake wasioolewa, basi asingefikia hatua ya kuwa desperate hadi kutafuta mwanaume mradi ana uume tu bali angeendelea kujipa muda hadi apate mwanaume wa chaguo lake
Huwa mkiishiwa hoja huku ndiko mnakokimbilia ili kutafuta points, waulize wanaonifahamu humu sijawahi kuwa na id mbili hii ninayoitumia ndio hii niliyoanza nayo nilichokuwa nabadili ni usernames tu, mnahisi namuogopa nani humu hadi niwe na multiple ids kwa hoja gani mlizonazo za kunifanya niwe nawabadilishia id
Sasa kama mna options nyingi na mnaoa wanawake wenye sifa njema tu mbona bado hata huko kwenye ndoa malalamiko ni mengi, na ndoa zinaendelea kuvunjika kila siku huku mkidai chanzo ni wanawake, mbona tunawafahamu wengine hadi ni makahaba wastaafu ila wanaolewa na ndoa zao zinadumu
Masikini mnahangaika kweli na kutaka kujua maisha yangu, hii yote ni defensive mechanism baada ya kuishiwa hoja, mmeona sasa mdili na mtoa hoja
Kijana hujanielewa nimesema hivi kwa dunia ya sasa tulipofikia wanaume wakisusa ndoa, basi wanawake nao watatafuta namna ya kuishi bila ndoa msidhani watarudi kuwabembeleza na kuwanyenyekea ili muwaoe, msidhani kwamba wanawake hawawezi kuishi bila ndoa kinachowafanya waendelee kuhitaji hizo ndoa ni mtazamo wa jamii tu shukuruni sana hicho kitu
Mimi nikisema niongee mambo ambayo nawish yangelikuwepo basi ningesema natamani jamii ambayo wanaume na wanawake wote wanaingia kwenye ndoa wakiwa mabikira yani natamani jamii ambayo haina uzinzi kabisa lakini je is that the reality, kwanini tuongelee fantasies wakati uhalisia unaonekana wazi kabisa kwamba kwa sasa na huko mbeleni wanawake hawatakaa warudi kuwa kama bibi zetu kama ninyi mnavyotaka ila ninyi mnalazimisha kwamba inawezekana, na mnajifanya kukataa ndoa ili kuwakomoa mkidhani kweli watarudi huko sasa mimi ndio najaribu kuwaambia kwamba hamuwakomoi wao mnajikomoa wenyewe ninyi mnabisha sasa hapo nani anaongea uhalisia na nani anaongea mawazo yake
Basi naweza kusema ninyi ni wanafiki kwa sababu kama lengo lenu ni kukemea maovu basi mngekemea na maovu ya wanaume lakini mnaassume kama vile wanaume wako innocent au labda maovu yao yanavumilika hivyo mnakazana kushikia bango maovu ya wanawake, leo hii mwanaume akikataa mimba mnasema ni ujinga wa mwanamke kwanini akubali kuzaa na mwanaume irresponsible yani eti mwanaume kuwa irresponsible siyo kosa ila mwanamke kuangukia kwa mwanaume wa aina hiyo ndio kosa, siku mkiacha visingizio vya kijinga na kuanza kukemea maovu ya pande zote mbili na wanaume wakaanza kujirekebisha basi nawahakikishia hata wanawake nao wataanza kuwasikiliza na kuona kweli mko serious kuisaidia jamii na siyo huu unafiki mnaoufanya
wasio na njaa na wana hela wanastress sana, ndio hao wanabadilisha vimarioo kila kukicha. Lakini pia hata wanaume hili linasumbua lakini mwanume ni mwanaume tu.
Sasa mwanaume ni mwanaume kivipi, kama hayo yangekuwa hayawasumbui mbona bado mnaoa, si muache kabisa kuoa ili tuone hiyo misimamo yenu
Bila shaka Unaongelea uhalisia kupitia mumeo, upo sahihi kwa hilo ila uweke wazi kwa kutangujlza hivi..
"Kwa mfano mume wangu...."
Kama nikisema nimtolee mfano mume wangu basi haya magazeti yote hapa hayana maana, sababu hana hizo tabia ambazo ndio zinanifanya karibu kila siku nashusha magazeti humu, unfortunately siyo wanaume wote wako kama mume wangu ndio hao tunaodili nao humu
Bi

Men age like fine wine, bitches age like milk.

Jifanye pisi kali sasa uje kuwa maziwa ya mgando sasa.
Mkuu siku hizi aliye juu usimngoje chini we mfuate huko huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…