Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Habari Tanzania
Nakuomba ewe mpiga kura ambaye uliyejiandikisha mwaka 2015 baada ya uchaguzi; kutokana na harakati za maisha ulihama eneo lako la kujiandikishia kupiga kura. Mwaka 2019 na 2020 hukuwezajiandikisha kabisa aidha kwa kukata tamaa au sababu zilizokuwa nje ya uwezo wako, tafadhali sana nakuomba ikifika muda wa kupiga kura Oktoba 2020 nakuomba urudi kituo ulichojiandikisha awali ili uweze kupiga kura yako kwa viongozi walio sahihi. Hii inakubalika.
Twende tukapige kura kwa watu sahihi, hakuna kukata tamaa tena.
#VijanaTanzaniaStandUp
Karibu.
Nakuomba ewe mpiga kura ambaye uliyejiandikisha mwaka 2015 baada ya uchaguzi; kutokana na harakati za maisha ulihama eneo lako la kujiandikishia kupiga kura. Mwaka 2019 na 2020 hukuwezajiandikisha kabisa aidha kwa kukata tamaa au sababu zilizokuwa nje ya uwezo wako, tafadhali sana nakuomba ikifika muda wa kupiga kura Oktoba 2020 nakuomba urudi kituo ulichojiandikisha awali ili uweze kupiga kura yako kwa viongozi walio sahihi. Hii inakubalika.
Twende tukapige kura kwa watu sahihi, hakuna kukata tamaa tena.
#VijanaTanzaniaStandUp
Karibu.