Ikikutokea hii HALI NA MKEO/MPENZIO how i'd u react?

Mmh kweli huu ni mtihani...kama hii haivumiliki kama alivyosema mmoja wa wachangiaji hapo juu, utaielezeaje ile hali ya mama aliyepata ajali SA na akawa kwenye coma kwa muda mrefu, baada ya jitihada za mume wake kujaribu kumrudishia kumbukumbu kwa kuongea nae na kumkumbusha mambo mazuri waliyowahi kufanya pamoja kushindikana, madaktari wakashauri amsomee au amsikilizishe nyimbo anazopenda kusikiliza - akaanza kumpigia nyimbo za Michael Bolton...akaamka!


Annina
 

Umeandika kwa hisia kali sana hapa kiongozi.
 
Atakuwa amejipa talaka ya kutotoka na tena outing na mimi!
 
Umeandika kwa hisia kali sana hapa kiongozi.

Nimeandika kwa hisia kwa sababu ni kitu ambacho kwa kiasi flani nina relate nacho. Unajua ktk mahusiano ya kindoa ukimfanyia hivyo mwenzako ni unamwacha na kidonda ambacho kupona kwake kutakuwa kugumu sana. Anaweza akaliweka hilo moyoni mpaka siku yake ya kufa.

Na hakuna kitu kibaya kama kuwa na machungu ya muda mrefu hadi unakufa nayo. Ni mateso. Sasa kama kweli unampenda mwenzako kwa dhati sidhani kama utamfanyia hivyo. Ukimfanyia hivyo na akaumia basi mapenzi yenu will never be the same again. Every now and then he/she will be having flashbacks of what you did to him/her. It is injudicious to do that to your life partner for whom you proclaim to love.
 
Mrs klorokwini alikuwa na mpango wa kumsifiaga sana leornado de caprio akiangalia movies zake. nimepiga ban movie zote za de caprio katika nyumba yangu. sasa ni movie za majuto kwenda mbele. naona hawa hollywood wanataka kuleta uzembe nyumbani kwangu.
 

aaah Nguli Sr. leo umeongea mapwenti sana. ila Kiranga nahisi ntabishana naye afu mwisho wa siku lazima ntaishia kulia!!!!
 
....ahhh, huo ni unyanyasaji wa kiakili bana, haivumiliki! ...ni sawa na mkeo kutwa kucha anasifia kupita kupitiliza wanaume wa kwenye tamthilia za televisheni kina "Juan Miguel" au "Brad Pitt", as if wewe ni pakashume tu hapa duniani!
 
mwenza wa hivyo kwa kweli binafsi naweza kum-disqualify kuwa mume kama bado tulikwa hatujaoana, na kama tulioana basi kwa kweli atakuwa amepunguza sana thamani ya mapenzi yangu kwake, uaminifu kwake na heshima pia.
ntajisiki akudhalilika na nahisi ntajinyanyua taratibu nipinduke niende home!!!

I tell you things will never be the same again, maana mbele ya macho yangu hivo je nisipokuwepo si balaa???
 

Duh! Hiyo kali.
 
Kuna dada mmoja rafiki yangu alikwenda kwenye Miss Tanzania pale Diamond Jubilee na mumewe....Sasa Camelion alipopanda jukwaani yule dada akasimama akapiga kelele ''Camelion I love yoooooouuuuu''. Jicho alilokatwa na mumewe mwenyewe ilibidi aseme ''Sorry''...Na akaulizwa ''Do think its fair ?'' Hakujibu.

Na hadithi yangu imeishia hapo!
 

MJ1, ya nini aibu mbele ya kadamnasi. Hata mimi ningefanya kama wewe.
 
Akirudi toka jukwaani utaendelea kutabasamu na kucheza naye tuu???
Nitajikaza kisabuni, nitacheza nae na wala sintomuuuliza ila dawa yake itakuwa inachemka😛ainkiller:
 
Nitajikaza kisabuni, nitacheza nae na wala sintomuuuliza ila dawa yake itakuwa inachemka😛ainkiller:

Ha ha ha ha najaribu kufikiria adhabu gani utamgaia.

Kiongozi una bonge la signature
Lord I thank you for answering my prayers.
 
Gosh ni kweli usemayo Sio njema kabisa Nguli haileti picha nzuri katika mahusiano ..Ila siku akija Denzel Washington nitaomba muzee anipe chance nikamkumbatie kidogo tu .....sijui mapromota watamleta lini ?
Pole Nguli kama yamekukuta..


nije mara ngapi?????
haya njoo uni hug........
 
kuna wanawake wengine mapepe kupita maelezo....
sio tu mwanamuziki,hata mtu maarafu yeyote....
mfano rais wa nchi,au muigizaji maarufu......
 
Patamu hapo.Mimi nadhani unapaswa kumuuliza kulikoni and then mengine yatafuta!
 
Kiukwel ni hali ambayo haivumiliki na kama ukitaka kuvumilia jua wewe unaendekeza upuuzi.ukiwa na mpenzi wako popote pale hata kama ni kanisani ni lazima ajue nini umuhimu wako kwa wakati huo.inapotokea anashindwa kulielewa hilo jua hakueshimu,hii ni dharau bwana.mimi nasema hivi hata kama mkeo anamegwa nje "it's ok" tabu wewe muhusika kujua kwamba fulani anamega.kwani yeye kosa lake sio kumegwa kosa ni uzembe kugundulika anakuwa kaonyesha dharau.kama ingenitokea mm hata lifti ucku huo nisingempa.
 
Wale wale wanaocheat wapenz wao yaani we unaona sawa mkeo kumegwa eti as long as wewe hujui!!!!!!!!!!!!!!!!
 

This is one of the Best Of Ngabu, Mkuu Umeongea Pwenti tu and I conquer
 

Sina cha Kuongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…