Ikitokea hitilafu au uvamizi wa cable za mawasiliano(internet) baharini tuna backup kama nchi?

Ikitokea hitilafu au uvamizi wa cable za mawasiliano(internet) baharini tuna backup kama nchi?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Leo imeripotiwa kuwepo kwa kukatika kwa mawasiliano lililotokana na hitilafu baharini unapopita mkonga wetu wa Taifa.

Mitaandao yote ya mawasiliano imekuwa down kwa muda kiasi na hadi sasa network bado inasumbua.Hali hii imenifanya nijiulize je tuna backup za internet nje ya mfumo uliopita baharini?

Huko Duniani wao wanafanya nini kukabiliana na hitilafu kama hizi?
 
Leo imeripotiwa kuwepo kwa kukatika kwa mawasiliano lililotokana na hitilafu baharini unapopita mkonga wetu wa Taifa.

Mitaandao yote ya mawasiliano imekuwa down kwa muda kiasi na hadi sasa network bado inasumbua.Hali hii imenifanya nijiulize je tuna backup za internet nje ya mfumo uliopita baharini?

Huko Duniani wao wanafanya nini kukabiliana na hitilafu kama hizi?
BOT Wako vzr wana back upnyao VSAT...Usalama nahisi bado wanayo...TTCL walikuwa Earth station sina uhakika.....bafo tuna route to SA...west africa kama nchi......uwekezaji ufikiriwe zaidii....
 
BOT Wako vzr wana back upnyao VSAT...Usalama nahisi bado wanayo...TTCL walikuwa Earth station sina uhakika.....bafo tuna route to SA...west africa kama nchi......uwekezaji ufikiriwe zaidii....
Route za SA na west africa zipo active to date. Mwaka jana lilitokea tatizo waka switch to those lines
 
Leo imeripotiwa kuwepo kwa kukatika kwa mawasiliano lililotokana na hitilafu baharini unapopita mkonga wetu wa Taifa.

Mitaandao yote ya mawasiliano imekuwa down kwa muda kiasi na hadi sasa network bado inasumbua.Hali hii imenifanya nijiulize je tuna backup za internet nje ya mfumo uliopita baharini?

Huko Duniani wao wanafanya nini kukabiliana na hitilafu kama hizi?
TCRA wameongea na hata Waziri nimemsikia,but he doesn't seem to clearly understand what is happening,this👇could be the problem.

 
TCRA wameongea na hata Waziri nimemsikia,but he doesn't seem to clearly understand what is happening,this👇could be the problem.

Mkuu kuna kitu sijakielewa,
Ni nini kinachoweza sababisha fibre communication iwe affected na magnetic storm???
 
Leo imeripotiwa kuwepo kwa kukatika kwa mawasiliano lililotokana na hitilafu baharini unapopita mkonga wetu wa Taifa.

Mitaandao yote ya mawasiliano imekuwa down kwa muda kiasi na hadi sasa network bado inasumbua.Hali hii imenifanya nijiulize je tuna backup za internet nje ya mfumo uliopita baharini?

Huko Duniani wao wanafanya nini kukabiliana na hitilafu kama hizi?
Falsafa ya internet ni kuwa na mtandao ambao link moja ikifail, nyingine ziwepo. Hii ndiyo basic design kutoka ARPANET.

Elon Musk anaongea na serikali kuhusu StarLink, hii ni moja ya alternate sokutions. Nchi haitakiwi kutegemea mkongo mmoja tu, inatakiwa kuwa na mkongo wa backup na satellite links.
 
Leo imeripotiwa kuwepo kwa kukatika kwa mawasiliano lililotokana na hitilafu baharini unapopita mkonga wetu wa Taifa.

Mitaandao yote ya mawasiliano imekuwa down kwa muda kiasi na hadi sasa network bado inasumbua.Hali hii imenifanya nijiulize je tuna backup za internet nje ya mfumo uliopita baharini?

Huko Duniani wao wanafanya nini kukabiliana na hitilafu kama hizi?
Itoke wapi! Kama back up ya chakula tu hakuna, tutaweza Mambo ya mawasiliano!
Ccm wanachojua ni makelele Nani kama mama! Kuteua,na kujenga mabango ya kumsifu samia
 
Mkuu kuna kitu sijakielewa,
Ni nini kinachoweza sababisha fibre communication iwe affected na magnetic storm???
Magnetic Storms mkuu zinaathiri mifumo yote ambayo usafirishaji wake unategemea umeme.So hata Nanobots zilizoko ndani ya mwili wa mtu aliyechanja C-19 vaccine, zinaweza kuharibiwa na Magnetic Storms na ndio maana watu waliochanja C-19 vaccines, wanashauriwa kukaa juani Wakati huu, ili waharibu hizo Nanobots.

Follow link ifuatayo ujifunze zaidi vitu vinavyoweza kuathiriwa na Solar Magnetic Storms


NB:Usichokijua ni usiku wa giza mkuu.
 
Magnetic Storms mkuu zinaathiri mifumo yote ambayo usafirishaji wake unategemea umeme.So hata Nanobots zilizoko ndani ya mwili wa mtu aliyechanja C-19 vaccine, zinaweza kuharibiwa na Magnetic Storms na ndio maana watu waliochanja C-19 vaccines, wanashauriwa kukaa juani Wakati huu, ili waharibu hizo Nanobots.

Follow link ifuatayo ujifunze zaidi vitu vinavyoweza kuathiriwa na Solar Magnetic Storms


NB:Usichokijua ni usiku wa giza mkuu.
Shukrani mkuu kwa hii elimu
 
Back
Top Bottom