Ikitokea kila mhalifu akapata wakili mzuri wa utetezi, kuna uwezekano wahalifu wakawa wanapeta mitaani!?

Ikitokea kila mhalifu akapata wakili mzuri wa utetezi, kuna uwezekano wahalifu wakawa wanapeta mitaani!?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Ndugu wanabodi mimi sio mjuzi sana wa sheria, ila kwa ninavyosikia ni kwamba mtuhumiwa yeyote anao uhuru wa kutafuta mwanasheria au wakili wa kumtetea katika kesi inayomkabili.

Ndipo swali langu linapokuja kwamba, kwa kuwa mambo ya haki hasa inayotolewa na mahakama hupatikana kutokana na ufundi wa kucheza na maneno ya kisheria, je ikitokea kila mhalifu akawa anapata wakili mtetezi mahiri anayepelekea mhalifu kushinda kesi, haiwezi kuwa hatari kwa jamii kwani wahalifu wanaachiwa huru na mahakama Hali ya kuwa bado ni wahalifu?
 
Sio kweli mkuu, kuwa na wakili msomi ni advantage kwa suspect ILA ni judge's wanaoamua kesi sio mawakili na judge's hawa wanaamua kutokana na ushahidi ulioletwa mezani kwao ndio maana kunatokeaga muda nwingine suspect (s)to walk kama ushahidi ni duni
 
Ndugu wanabodi mimi sio mjuzi sana wa sheria, ila kwa ninavyosikia ni kwamba mtuhumiwa yeyote anao uhuru wa kutafuta mwanasheria au wakili wa kumtetea katika kesi inayomkabili.

Ndipo swali langu linapokuja kwamba, kwa kuwa mambo ya haki hasa inayotolewa na mahakama hupatikana kutokana na ufundi wa kucheza na maneno ya kisheria, je ikitokea kila mhalifu akawa anapata wakili mtetezi mahiri anayepelekea mhalifu kushinda kesi, haiwezi kuwa hatari kwa jamii kwani wahalifu wanaachiwa huru na mahakama Hali ya kuwa bado ni wahalifu?
Nadhani muhimu ni kabla hujamshtaki mtu hakikisha una ushahidi wa kutosha usio na shaka, hapo hata wakili awe nani, kama unaweza kuidhibitishia mahakama kuwa una haki hakuna shaka utaipata haki yako, vinginevyo uhuru wa mahakama uwe umeingiliwa, ila kama ni hizi kesi za hisia na chuki binafsi, ukipata wakili mzuri anakupa wepesi wa kushinda kesi.
 
Back
Top Bottom