Ikitokea shabiki uwanjani akajeruhiwa na mpira, anastahili fidia?

Ikitokea shabiki uwanjani akajeruhiwa na mpira, anastahili fidia?

Joined
Oct 26, 2021
Posts
99
Reaction score
294
Ikitokea mechi ya Simba [emoji881] na Yanga [emoji169][emoji172],FEI TOTO akapiga bonge la shuti likaenda kugonga uoande wa jicho la shabiki wa Simba akapelekwa hosptali ikashindikana akapata upofu ilo jicho moja. Je astahili fidia? Nani atamlipa na kwanini?
 
Back
Top Bottom