Ikitokea umemwelewa mtu lakini wewe tayari una mtu wako?

Ikitokea umemwelewa mtu lakini wewe tayari una mtu wako?

ukiona hivyo basi jua vi UTI sugu,kaswende sugu na magonjwa mengine sugu nayenyewe yanakunyemelea ili yakuelewe kama wewe unavyowaelewa!
 
ukiona hivyo basi jua vi UTI sugu,kaswende sugu na magonjwa mengine sugu nayenyewe yanakunyemelea ili yakuelewe kama wewe unavyowaelewa!
duh mkuu mbn km tunatishiana amani
 
Hakuna mtu mwenye mtu wala hakuna mtu asie na mtu, we kama mmeelewana nanyie kuweni watu.
 
Hizo genye mshindo hakuna cha kumuelewa wala nini.!! Na ukilala naye ukimaliza na ujinga wote unatoka kichwani. Acha umanyalaya
 
Back
Top Bottom