0021
Senior Member
- Oct 24, 2012
- 160
- 60
Habari wadau wngu wa J/intelijensia.
Awali ya yote ngoja niwape mkasa wa stori nilizozishuhudi kutoka kwa walevi wa pombe... tena pombe za kienyeji kule kijijini. "wapi wewe wabongo ndo tulivyo akili zetu ni fupi sana. Fanya mambo kizungu bwana, hawa waafrika unao waona wanakimbilia Ulaya ikatokea siku moja bara la Ulaya wakatuambia tubadilishane Mabara.
Waafrika waende Ulaya na Wazungu waje Afrika...yaani baada ya miaka 50 Waafrika wa Ulaya wataanza tena kuzamia tena kurudi Afrika kwa wazungu".mwisho wa kunukuu. Yule mlevi aliendelea kulopoka eti waafrika wakifika kule ulaya kwanza;-wataiba vyuma vya madaraja, barabarani, relini na kwenda kuuza kama vyuma chakavu.
Usafiri wa uma mfano Reli,bandari watabinafsisha na kuuziana viongozi na wafanya biashara.. Kabla hata wiki haijaisha nikakutana na makala moja kwenye gazeti la Mwanaspoti la Jumamosi tr.7 yenye kichwa cha habari 'Equatorial Guinea wametuwakilisha akili zetu Waafrika'...Makala hii ya Edo Kumwembe imeelezea yaleyale waliyosema wale walevi juu ya akili za kiafrika.
Wadau msaada wangu tuambizane ukweli nini ukweli wa fikra za kiafrika...tuchambue kwa kutumia theory mbalimbali.....mfano wengine huzani labda ni laana toka kwa Mungu wakitumia maandiko matakatifu hasa Biblia na wengine huzani ni ukoloni ndio ulidumaza uwezo wetu wa kufikiri.
Awali ya yote ngoja niwape mkasa wa stori nilizozishuhudi kutoka kwa walevi wa pombe... tena pombe za kienyeji kule kijijini. "wapi wewe wabongo ndo tulivyo akili zetu ni fupi sana. Fanya mambo kizungu bwana, hawa waafrika unao waona wanakimbilia Ulaya ikatokea siku moja bara la Ulaya wakatuambia tubadilishane Mabara.
Waafrika waende Ulaya na Wazungu waje Afrika...yaani baada ya miaka 50 Waafrika wa Ulaya wataanza tena kuzamia tena kurudi Afrika kwa wazungu".mwisho wa kunukuu. Yule mlevi aliendelea kulopoka eti waafrika wakifika kule ulaya kwanza;-wataiba vyuma vya madaraja, barabarani, relini na kwenda kuuza kama vyuma chakavu.
Usafiri wa uma mfano Reli,bandari watabinafsisha na kuuziana viongozi na wafanya biashara.. Kabla hata wiki haijaisha nikakutana na makala moja kwenye gazeti la Mwanaspoti la Jumamosi tr.7 yenye kichwa cha habari 'Equatorial Guinea wametuwakilisha akili zetu Waafrika'...Makala hii ya Edo Kumwembe imeelezea yaleyale waliyosema wale walevi juu ya akili za kiafrika.
Wadau msaada wangu tuambizane ukweli nini ukweli wa fikra za kiafrika...tuchambue kwa kutumia theory mbalimbali.....mfano wengine huzani labda ni laana toka kwa Mungu wakitumia maandiko matakatifu hasa Biblia na wengine huzani ni ukoloni ndio ulidumaza uwezo wetu wa kufikiri.