Hahaha kwaio tuache kuheshimu mikataba mkubwa [emoji3][emoji3][emoji3].Mpira si biashara ya utumwa. Mchezaji wajibu wake unaambatana na nia ya kutimiza huo wajibu, ukiondoa nia basi ni sawa na huna huyo mchezaji hata kama utalazimisha awepo kikosini. Kuwa na wachezaji 20 wasio na nia ya kuipigania timu ni bora wasiwepo tu. Ni sawa na kufuga mbuzi wafukuze paka wezi wa kuku. Utasema una walinzi ila ni kama huna tu.
Mikataba lazima iheshimiwe. Ila kwa nature ya mikataba ya mpira, mchezaji akisusia timu ni sawa tu na mtu aliyejitoa mhanga, anapoteza ila pale anapolipukia panaharibika pia. Kumshinda mtu wa aina hii ni kumuwahi na kumuondoa asilipuke.Hahaha kwaio tuache kuheshimu mikataba mkubwa [emoji3][emoji3][emoji3].
Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Aende Sasa mezani wayamalize na Yanga.Mikataba lazima iheshimiwe. Ila kwa nature ya mikataba ya mpira, mchezaji akisusia timu ni sawa tu na mtu aliyejitoa mhangakama mfano kwa wachezaji wengine, na ikiwa hivi in long run utamwachia tu. Huwezi mshikilia maana ni mzigo kwako...
Labda ataenda
Kama wachezaji wana haki ya kuvunja mikataba wakati wowote, kuna uwezekano wa kutokea kitu cha ajabu sana. Swali ni je pale Yanga ikitokea wachezaji zaidi ya 20 wamepata deals nzuri na wameamua kuvunja mikataba yao (kama alivyojaribu Feisal), timu itaendelea na kushiriki mashinano?
Ok. Lkn swali ni je timu itaendelea na mashindano?Mpira si biashara ya utumwa. Mchezaji wajibu wake unaambatana na nia ya kutimiza huo wajibu, ukiondoa nia basi ni sawa na huna huyo mchezaji hata kama utalazimisha awepo kikosini. Kuwa na wachezaji 20 wasio na nia ya kuipigania timu ni bora wasiwepo tu. Ni sawa na kufuga mbuzi wafukuze paka wezi wa kuku. Utasema una walinzi ila ni kama huna tu.
Ndio hapo sasa!Hahaha kwaio tuache kuheshimu mikataba mkubwa [emoji3][emoji3][emoji3].
Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
Wala hajaongea hoja dhaifu, hiyo ndio ilikuwa plan yao tangu awali kwamba Feisal atapigwa fine kwa kuvunja mkataba kihuni halafu wapemba wenzake wangempa pesa awalipe Yanga.Nimemsikiliza Fatuma akiongea,nimeshangaa anaongea hoja dhaifu sana kuhusu suala ya Feisal
Sasa wewe kwanini umekuja kuchangia? Mmmmmh wagonjwa wa akili ni wengi sanaNyuzi nyingine muwe munaishia kujianzishia huko huko kwenye magrupu yenu ya utopolo
Kama kuna jirani yako hapo ana majibu ya swali langu mwambie akusaidie kujibuWaambie wasilipe mshahara miezi 3 wala posho afu uje tena hapa.
Ukiona hilo linatokea ujue timu inashida.
Umejiuliza pia vipi Yanga ikiamua kuvunja mikataba ya wachezaji wote itakuwaje?
Na thamani yake inazidi kushuka,angecheza confideration cup,angepandisha thamani yakeWala hajaongea hoja dhaifu, hiyo ndio ilikuwa plan yao tangu awali kwamba Feisal atapigwa fine kwa kuvunja mkataba kihuni halafu wapemba wenzake wangempa pesa awalipe Yanga...
You're missing the point, at this point Yanga haina shida na Fei ila inafuata matakwa ya mkataba na kumkomoa which I rightly support.Mpira si biashara ya utumwa. Mchezaji wajibu wake unaambatana na nia ya kutimiza huo wajibu, ukiondoa nia basi ni sawa na huna huyo mchezaji hata kama utalazimisha awepo kikosini...