Ikiwa bajeti ya serikali ni trillion 29. Na makusanyo yote ni trillion 10 tu, ni nini kitatokea?

Major

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2007
Posts
1,865
Reaction score
2,453
Wataalam wetu wa uchumi, kwa sasa kodi inayokusanywa ni trillion 1 average. Lakini kwa hali ilivyo na inavyoonyesha kuna kila dalili kwamba inaweza kushuka mpaka billion 600. Swali langu ni je? Ikiwa bajeti ya serikali ni trillion 29. Na makusanyo yote ni trillion 10 tu, ni nini kitatokea? I mean. Nchi itakuwaje?.

Please. Naomba majibu ya kitaalamu na siyo ya kisiasa.na Kama unajua wewe ni wale jua likisogea na wao wanasogea, hili swali halikuhusu.
 
Watakurudia wa aina zote kwasababu hujataja source ya namba hizo na kwanini una wasiwasi.
 
gesi ya helium itaongeza hiyo 19 iliyo baki na surplus ikiwemo

usiwe na wasi wasi tumejipangaaa wataisomaaaa
 
Ndio maana siasa za ajabu ajabu hazitakiwi bali kazi tu
 
Matokeo ni kukopa, na kuomba misaada kama ilivyozoeleka
 
Tanzania haijawahi kuwa na balanced wala surplus budget....

Daima ni deficit budget hivyo mikopo na misaada itahusika ili kufidia gap hilo na pia usishangae maana hata kodi zimeongezwa....

Alafu pia kumbuka serikali ina vyanzo vya mapato vinginevyo kama hizo faini mnazopigwa pale mvunjapo sheria na hata Kutoka katika pahala pa uwekezaji wake ingawa bado haiondoi umuhimu wa kodi kuwa chanzo kikuu chake cha mapato
 
Kumbe muheshimiwa aliyetangulia aliposema kuwa nchi yetu haiwezi kwenda bila kupokea misaada kutoka nje alikuwa sahihi?
 
Kitakachotokea ni kusubiria tu makusanyo mengine
 
nakumbuka kipindi cha kampeni silinde aliwahi kusema nakumbuka mwaka ule bajeti ilikua ni trillion 18 lakini anasema hela iliyo tumika ni trillion 6 tu na nyingine yote iliyobaki iliruludishwa serikalini.

na mm nikaja kujiuliza mbona serikali huwa inapiga bajeti kubwa sana na kuhaidi vitu vingi harafu havitekelezeki nikaona ni kweli huwa hii serikalu ya ccm huwa kuna unasanii inafanya.
lakini ngoja tuone kwa magufuli kama kale kamchezo kanaendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…