Wasi wasi ni akiliWatakurudia wa aina zote kwasababu hujataja source ya namba hizo na kwanini una wasiwasi.
Matokeo ni kukopa, na kuomba misaada kama ilivyozoelekaWataalam wetu wa uchumi, kwa sasa kodi inayokusanywa ni trillion 1 average. Lakini kwa hali ilivyo na inavyoonyesha kuna kila dalili kwamba inaweza kushuka mpaka billion 600. Swali langu ni je? Ikiwa bajeti ya serikali ni trillion 29. Na makusanyo yote ni trillion 10 tu, ni nini kitatokea? I mean. Nchi itakuwaje?.
Please. Naomba majibu ya kitaalamu na siyo ya kisiasa.na Kama unajua wewe ni wale jua likisogea na wao wanasogea, hili swali halikuhusu.
Kumbe muheshimiwa aliyetangulia aliposema kuwa nchi yetu haiwezi kwenda bila kupokea misaada kutoka nje alikuwa sahihi?Wataalam wetu wa uchumi, kwa sasa kodi inayokusanywa ni trillion 1 average. Lakini kwa hali ilivyo na inavyoonyesha kuna kila dalili kwamba inaweza kushuka mpaka billion 600. Swali langu ni je? Ikiwa bajeti ya serikali ni trillion 29. Na makusanyo yote ni trillion 10 tu, ni nini kitatokea? I mean. Nchi itakuwaje?.
Please. Naomba majibu ya kitaalamu na siyo ya kisiasa.na Kama unajua wewe ni wale jua likisogea na wao wanasogea, hili swali halikuhusu.