Salaam, Shalom!!!
Waziri wa Fedha ndugu Mwigulu Nchemba amedai kuwa, deni la Taifa limeongezeka Kwa zaidi ya Trilioni 5 kutokana na kuporomoka Kwa thamani ya Shilingi.
Jambo Hilo Hilo la kuporomoka Kwa thamani ya pesa yetu ya kitanzania( Tshs) ndiyo Hasa inafilisi wafanyabiashara kariakoo na Mahali pengine nchini.
Utakuta mfanyabiashara ana mtaji wa milioni 800 Kwa Mfano, kutokupatikana Kwa Dola na kupatikana Kwa dollar Kwa shilingi 3000 Kwa dollar Moja mtaani, kutapunguza mtaji wa mfanyabiashara na kusababisha apoteze kiwango Cha Mzigo ambacho angenunua ikiwa dollar ingekuwa unapatikana Kwa 2300.
Kwa namna Moja au nyingine, wizara ya Fedha inahusika Moja Kwa moja kuleta shida hiyo Kwa kuendekeza mikopo Kila kukicha.
Waziri Mwigulu una maono Gani kuhakikisha nchi inalipa madeni haya na kupunguza mikopo?
Waziri Mwigulu, una maono Gani kuhakikisha pesa yetu ya Tshs inaimaika kama ambavyo pesa yetu ya kitanzania enzi za Mwl Nyerere, Dola Moja ya kimarekani, ilibadilishwa Kwa Tshs 10 pekee? Mbona shilingi yetu inazidi kuporomoka?
Narudia tena, Waziri Mwigulu ni liability Kwa Uchumi wetu, mtu sahihi Kwa wakati huu ni Mh Kimei.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏
Waziri wa Fedha ndugu Mwigulu Nchemba amedai kuwa, deni la Taifa limeongezeka Kwa zaidi ya Trilioni 5 kutokana na kuporomoka Kwa thamani ya Shilingi.
Jambo Hilo Hilo la kuporomoka Kwa thamani ya pesa yetu ya kitanzania( Tshs) ndiyo Hasa inafilisi wafanyabiashara kariakoo na Mahali pengine nchini.
Utakuta mfanyabiashara ana mtaji wa milioni 800 Kwa Mfano, kutokupatikana Kwa Dola na kupatikana Kwa dollar Kwa shilingi 3000 Kwa dollar Moja mtaani, kutapunguza mtaji wa mfanyabiashara na kusababisha apoteze kiwango Cha Mzigo ambacho angenunua ikiwa dollar ingekuwa unapatikana Kwa 2300.
Kwa namna Moja au nyingine, wizara ya Fedha inahusika Moja Kwa moja kuleta shida hiyo Kwa kuendekeza mikopo Kila kukicha.
Waziri Mwigulu una maono Gani kuhakikisha nchi inalipa madeni haya na kupunguza mikopo?
Waziri Mwigulu, una maono Gani kuhakikisha pesa yetu ya Tshs inaimaika kama ambavyo pesa yetu ya kitanzania enzi za Mwl Nyerere, Dola Moja ya kimarekani, ilibadilishwa Kwa Tshs 10 pekee? Mbona shilingi yetu inazidi kuporomoka?
Narudia tena, Waziri Mwigulu ni liability Kwa Uchumi wetu, mtu sahihi Kwa wakati huu ni Mh Kimei.
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni 🙏