Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Leo dogo anakata keki, ilikuwa safari ndefu sana kwake, kwani alirudia madarasa kadhaa.
Lakini hatimae amemaliza darasa la saba, familia tumejawa na furaha tele, kwani haikuwa rahisi.
Wadau wa mitindo na mavazi, mnampa maks ngapi fundi wa hili vazi, je dogo kapendeza au fundi kaboronga?
Lakini hatimae amemaliza darasa la saba, familia tumejawa na furaha tele, kwani haikuwa rahisi.
Wadau wa mitindo na mavazi, mnampa maks ngapi fundi wa hili vazi, je dogo kapendeza au fundi kaboronga?