Tetesi: Ikiwa mahabusu wanaua Kibiti, magereza inajitoa vipi?

Tetesi: Ikiwa mahabusu wanaua Kibiti, magereza inajitoa vipi?

lenganasa

Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
23
Reaction score
12
Watanzania wote kwa umoja wetu tumesikitishwa na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia huko Kibiti. Jambo la kushangaza ni vipi magereza inahusu mahabu kupanga na kutekeleza uovu huo na yenyewe ikabaki salama. Ninaimba serikali uchukue hatua za haraka kama haya ni ya kweli.
 
Mimi ninaamini kuwa rais wetu anapewa taarifa sahihi na vyombo vyake. Sasa amesema kuwa masheik walioko mahabusu wanahusika (gazeti Mwananchi 3 July 2017. Sasa nauliza kwanini hiyo magereza isishughulikiwe kama haina uthibiti wa kutosha?
 
Yan unadhan kila habari watu wote wanaifahamu, jaribu kuelezea hoja yako vizuri km mtu aliefundishwa kuandika insha shule ya msingi maana naamin ulimaliza std vii japo kwingine sijui
 
Hao Masheikh ni wa Zanzibar au Kibiti? Kubambikiana mambo kumezidi kiasi.
 
Watanzania wote kwa umoja wetu tumesikitishwa na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia huko Kibiti. Jambo la kushangaza ni vipi magereza inahusu mahabu kupanga na kutekeleza uovu huo na yenyewe ikabaki salama. Ninaimba serikali uchukue hatua za haraka kama haya ni ya kweli.
Ok nimekuelewa yani wale watu.wapo mahabusu lakini bado wanatekeleza mauaji kibiti sindio
 
Kuna kundi flan la askari waliwaua raia wasio na hatia na kuwapora mali zao (Madini) yao wakasema wale walikua wezi. Tukasikia na ndipo nikaogopa askari polisi hadi leo.
Sasa kama hata baba yetu aliyeko pale Magogoni aweza kuwabambikia watu walioko jela kesi ya mauaji yaliyofanyika huko nje, hii ni maajab
 
Back
Top Bottom