Nchi yetu ilipopata uhuru tuliamua kwa busara kabisa kutenganisha serikali na dini ila cha ajabu miaka 50 imepita bado kuna watu wenye fikra finyu kama zako. Usilete udini kwenye siasa.Naamini kama anaweza kufufua wafu basi ana uwezo wa kusema 'Na Ambulance iwepo kila kata, zisizo tumia mafuta wala dereva" na zenyewe zikawepo. Ila cha zaidi ana uwezo wa kusema "Mgonjwa nakuamuru pona" Naye akapona hivyo haina haja hata ya ambulance
Angalia camera tafadhaliNchi yetu ilipopata uhuru tuliamua kwa busara kabisa kutenganisha serikali na dini ila cha ajabu miaka 50 imepita bado kuna watu wenye fikra finyu kama zako. Usilete udini kwenye siasa.
Sijaona cha ajabu hapoAngalia camera tafadhali
View attachment 1568889
Mfu kafufuliwa hapoSijaona cha ajabu hapo
dada siku hz unajituma jf, unapata muda wa kumuhudumia mmeo kweli?!.Mbowe amepita na bilion nane apo
Makamanda wa jamii forum hata kuhoji hakuna
Sasa Mungu anagombeaje ubunge? Mtu anaamuru mfu afufukesi ni Mungu kabisaInahusiana nini na Gwajima kugombea ubunge?
Naona ume crop picha ili yale mafuso yasionekaneMtaa kwa mtaa View attachment 1568907
Huyu kama kaweza mtafuna kondoo wake na bado mmempa dhamana, mnauhakika gani kua kutakua na usalama kwa hao wabunge wa kike ambao ni ccm wenzake?Aliyekwambia kazi ya mbunge ni kufufua watu nani?
Bila shaka Malori yako upande wa camera man
Pole sana maana hujui maana na tofauti kati ya kabisa na nyumba ya kuabudia,wafuasi wa chadema mnakwama wapi? Harafu nanyie eti mnamikakati ya kuiondoa CCM madarakani,Nimekuwa nikiona baadhi ya members wakipiga sera na ahadi za Gwajima anazozitoa kwa wana kawe kuwa hazitekelezeki kwa kigezo cha kushindwa kujenga jengo la kanisa lake.
Tukija upande wa pili tunaona pia chadema nao wameshindwa kujenga jengo la ofisi yao kwa miaka mingi sana zaidi ya kuendeshea shughuli zao za kila siku kwenye servant quarter.
Sasa chadema mtuambie ikiwa mgombea ubunge hafai kuchaguliwa kwa sababu hajajenga jengo la kanisa je mgombea wa urais anayetoka kwenye chama ambacho hakijajenga jengo la ofisi tunamchagua vipi?View attachment 1568882
Nimekuwa nikiona baadhi ya members wakipiga sera na ahadi za Gwajima anazozitoa kwa wana kawe kuwa hazitekelezeki kwa kigezo cha kushindwa kujenga jengo la kanisa lake.
Tukija upande wa pili tunaona pia chadema nao wameshindwa kujenga jengo la ofisi yao kwa miaka mingi sana zaidi ya kuendeshea shughuli zao za kila siku kwenye servant quarter.
Sasa chadema mtuambie ikiwa mgombea ubunge hafai kuchaguliwa kwa sababu hajajenga jengo la kanisa je mgombea wa urais anayetoka kwenye chama ambacho hakijajenga jengo la ofisi tunamchagua vipi?View attachment 1568882
Sifa moja wapo ya kuwa mbunge ni kuwa na umri wa miaka 21 na kuendelea ivyo uyo ni mtu mzima. Huwezi kumpangia mtu mzima akazwe na nani. Hoja yako haina mashikoHuyu kama kaweza mtafuna kondoo wake na bado mmempa dhamana, mnauhakika gani kua kutakua na usalama kwa hao wabunge wa kike ambao ni ccm wenzake?
Mnataka kuligeuza bunge kua brazzers?