Pick up za kichina zilizoanza kutumika na Polisi kipindi cha Mkutano wa Nishati bado zinazurula barabarani, hasa Pugu Road.
Tena zinaendeshwa kwa mwendo wa hatari zikienda na kurudi kupitia njia ya mwendokasi huku zikiwa na mapolisi wenye silaha.
Lile gari jeusi la kutisha nalo linapiga doria continuosly. Troops za wanajeshi wakifanya mazoezi ya kukimbia mabarabarani nazo zimeongezeka siku 2 hizi.
Kuna jambo wananchi tunapaswa kulijua? Maana ni kama vile tunapewa taharuki.
Tena zinaendeshwa kwa mwendo wa hatari zikienda na kurudi kupitia njia ya mwendokasi huku zikiwa na mapolisi wenye silaha.
Lile gari jeusi la kutisha nalo linapiga doria continuosly. Troops za wanajeshi wakifanya mazoezi ya kukimbia mabarabarani nazo zimeongezeka siku 2 hizi.
Kuna jambo wananchi tunapaswa kulijua? Maana ni kama vile tunapewa taharuki.