Ikiwa mpaka mtu ana notice speed za magari ya polisi ujue hana kazi ya kufanya huyo.Wanadamu hatueleweki tunataka nini,.
Ushawahi kujiuliza bila majeshi imara nini hufuatia.
Umeamka salama,unaenda kwenye mishe zako unaanza kushangaa kwanini magari ya polisi yanaenda Kwa Kasi wakati huo hawakufuati wala kuhangaika na wewe na pia wanajeshi kufanya mazoezi ni utaratibu mzuri tu kwani mishe zao zinataka utimamu wa mwili na akili
Mkuu fanya shughuli zako ,Acha watu watimize wajibu wao
Mmh ila likitokea janga hapa hawa huwaoni kama hivi ,uNataka kusema hatuongeagi mfano mzuri janga la kariakooWanadamu hatueleweki tunataka nini,.
Ushawahi kujiuliza bila majeshi imara nini hufuatia.
Umeamka salama,unaenda kwenye mishe zako unaanza kushangaa kwanini magari ya polisi yanaenda Kwa Kasi wakati huo hawakufuati wala kuhangaika na wewe na pia wanajeshi kufanya mazoezi ni utaratibu mzuri tu kwani mishe zao zinataka utimamu wa mwili na akili
Mkuu fanya shughuli zako ,Acha watu watimize wajibu wao
Muhaini baba akoKama wewe sio muhaini/mhalifu unaogopa nini?
Acha tulindwe.
siku zote walikuwa wapi?Dah Bongo shida sana. Unapewa ulinzi Bure kabisa bila hata mia kulipia but pia hutaki. Matukio ya kihalifu yakizidi utarudi hapa pia kulalamika kuhusu polisi kutotimiza majukum ipaswavyo.
Nb.
Jeshi kufanya mazoezi ni sehemu ya kazi za kawaida za kijeshi kuhakikisha utimamu wa mwili na akili
Wakapashie mipakani huko.Labda Wanapasha pasha viungo waende kumfurumusha PAKA na wale Wahuni wake maana PAKA anajifanya jeuri sana
ambae anakuwa babu yako maana mimi ni bwana wa mama yako.Muhaini baba ako