Iko siku duluma na unyanyasaji utaisha tu

siwapendi watu hawa toka moyoni! SIJUI LINAMCHEKEA NANI!??? MANANIIII YAKO WEEEEEE SENZI!
 
Duluma dhuluma that the matter of understanding mi nilivyoelewa alimaanisha dhuluma.Nawakilisha,tujadili ya msingi.
 


na wanyanyasaji kama huyu jamaa yatawakuta yanayotukuta WatZ tulio wengi wanyonge..

Ipo siku watakuja kuishi mtaani. Tutawatenga kama mstaafu flani wa jeshi la polisi. Hua akija vijiwe vya kahawa kwa lengo la kujichanganya na watu, anakimbiwa na kubaki peke yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…